Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

8d11b7a8853d6ccb81b7d453ea424a06.jpg
6b29916023242b163f2a46b4f34d0dae.jpg

Smart rock city
 
Subiri mjengewe na serikali, mnatamba kwa Hela za Kodi zetu wakati uhalisia nyie masikini. Miji mingine haipati favour hizo na Bado inawabutua
 
IMG0.jpg
IMG3.jpg
IMG2.jpg
IMG1.jpg

Buswelu, watu wanajenga kwa pesa zao na si kwa kutegemea mashirika ya kiserikali ya NHC, watumishi housing n.k
 
Wewe endelea kujifariji kwa vipicha vyako kilasiku ...sijaona mtandao wa barabara za lami kama Dodoma .
Nikuulize swali hiyo Serikali ndio imewajengeà wakazi wa Dom nyumba zao,malls zao,viwanda vyao 😂😂😂
Tulia kwanza nikushone
 
Wewe endelea kujifariji kwa vipicha vyako kilasiku ...sijaona mtandao wa barabara za lami kama Dodoma .
Nikuulize swali hiyo Serikali ndio imewajengeà wakazi wa Dom nyumba zao,malls zao,viwanda vyao 😂😂😂
Kaka acha utani kabisa! Buswelu ni sehemu watu binafsi wanajenga sana ila kwa vile mmekalili maisha ndo kinakufanya ubeze maendeleo hayo japo ukweli unajua!
 
Kaka acha utani kabisa! Buswelu ni sehemu watu binafsi wanajenga sana ila kwa vile mmekalili maisha ndo kinakufanya ubeze maendeleo hayo japo ukweli unajua!
Wala hatutumii nguvu sana kumwelimisha. Sehemu hot ni nyingi tu ajipange.
 
Back
Top Bottom