mwenye access ya kuvipata afanya hivyo maana kuna watu wanatia hasira sana umu majukwaan
tatizo haijui mwamza uyoHuyo jamaa yeye ni mtu wa njombe lkn kila post inyohusu Mwanza lazima aje haipondee ata ww ukianzisha uzi wa Mwanza vs Tandahimba lazim atakuja na kusema Tandahimba ni zaid na atatuma zile report za 2012 zikionesha mwanza ni mkoa masikini tena hatakuwa anairudia hiyo post mara mia moja, huyoa ndio opportunity cost sasa hivi anajiita sijui sunk cost fallacy.
ongea nae mkuu maana hawa mbweha watatusumbua sana umu majukwaan inatakiwa ifikie hatua tusifananishane tena yaan mkubwa ajulikane mkubwa na mdogo ajulikane mdogoTatizo tuna upungufu wa picha itabidi niongee na mr drone camera japo na yeye kapotea sn.
safiiiiiiiiItabidi nikipata off siku za jumapili takuwa natembelea sehemu moja moja natafuta position ya kupiga picha natuma kule kwenye Mwanza city gallery ya laizerg.
dodoma ni kama kisesa tuu mkuuView attachment 2082921
Wagogo usiku mwema
Hivi kama mna upungufu wa picha na sisi wa Dodoma city tusemeje? Hivi haujui hapa Tanzania kama kuna mji hauna picha kutokana na kutotiliwa maanani ni Dodoma ndiyo maana mpaka sasa mnamudu kujiliwaza hapa kuwa mnaizidi Dodoma.Tatizo tuna upungufu wa picha itabidi niongee na mr drone camera japo na yeye kapotea sn.
Te! te! te! tee! Kweli mnaota ndoto za arinacha eti google ya wazungu, ngoja niwagutushe tu usingizini kuwa subirieni sensa ya SSH itawapa majibu nina uhakika kwa kariakoo ile ya Soko la majengo ambalo leo Makamu wa presidaa amelitembelea na kukomandi kampuni ya usafi ipugwe kazi (mojawapo ya kero niliyoigusia kwenye uzi wangu naona imefanyiwa kazi tiyari)Ila ukiingia google ya wazungu mpangilio upo hivi
1.Dar
2.Mwanza
3.Zanzibar
4.Arusha
5.Tanga
6.Mbeya
7.sijaona Dodoma
[emoji23][emoji23] wewe ni mwehu kabisa hata nashindwa tunabishania nini yani inanaanisha mwanza ina supermarkets chache kuliko dodoma! Seriously Yan et mna kumbi za starehe kuliko mwanza! Haya tueekee hapa picha ya mji wa dodoma tuone huo mji wa kisasa na uliopanuka unaousema, jaman watu wa Mwanza hebu tusibishane na hawa watu kwa maana nimegundua ni kupoteza muda, haya Dodoma ipo juu ya Mwanza umefurahi sasa?Ile kitu Dodoma anamfanyia Mwanza kwenye uzi huu si poa kabisa; Yaani katoto ka juzijuzi tu hapa kamemtandika mkubwa mpaka ametubu;
Maeneo aliyoongoza Mwanza mpaka sasa dhidi ya mpinzani wake;
1. Ukubwa wa jiji
2. Maisha nafuu/duni
3. Idadi kubwa ya watu
4. Viwanda
5. Slums
6. Maji
7. Bandari na meli
8. Hali ya hewa
9. Poor infrastructure I.e barabara, taa, stendi n.k
10. Umasikini
Maeneo aliyoongoza Dodoma dhidi ya mpinzani wake;
1.Jiji la kisasa.
2. Kasi ya ukuaji na utanukaji wa jiji.
3. Mpangilio (hapa inaeleweka mwanza ni jiji la zero planning)
4. Shopping malls& super markets (mwanza hakuna hata mini zaidi ya rockcity mall)
5. Barabara za lami (Zoo hapa imepigwa miles ndefu)
6. Estates (mwanza hakuna)
7. Idadi ya jumla ya majengo yote ya ghorofa juu ya ardhi kwa jiji zima (ukiunganisha majengo ya CBD na UDOM pekee Mwanza chali kifo cha mende bila kuigusa Mtumba,kisasa,maeneo ya Estates,CBE, makole, majengo ya idara mbalimbali za umma na binafsi yaliyopo njia ya Kikuyu avenue n.k)
8. Majengo ya ghorofa ndefu za kufikia ghorofa kumi (imedhihirika mwanza ni ndoto kuna ghorofa moja tu la flow 16 basi)
9. Mzunguko wa pesa dom nimkubwa pamoja na purchasing power.
10. Wakazi wengi wanakipato cha kati na cha juu.
11. Facilities za mikutano, kumbi kubwa kwa ajili ya dhifa na vikao vya ndani na vya kimataifa.
12. Makao makuu ya serikali na wizara zote. I.e ofisi za wizara, jeshi,bunge na ikulu.
13. Kuna high demand ya huduma, starehe na accommodation kutokana na kipato kizuri hivyo spending nikubwa na wafanyabiashara wananufaika zaidi kuliko mwanza.
14. Idadi ya Round about na maeneo bora ya bustani za kupumzikia mjini
15. Makao makuu ya madhehebu kadhaa kama anglikana na nyumbani kwa misikiti mikubwa zaidi Tanzania.
16. Nyumbani kwa chuo kikuu kikubwa zaidi Afrika ya mashariki-UDOM na Taasisi ya moyo- Benjamini Mkapa.
17. Stendi na Soko la kisasa.
Matarajio ya Mwanza katika hatua za ujenzi au utekelezaji wa miradi iliyo kwenye mpango wa matekelezo:
1. SGR
2. Meli
3. Daraja la busisi
4. Airport
5. Stendi za magari
6. Soko kuu
Matarajio ya Dodoma katika hatua za ujenzi au utekelezaji wa miradi iliyo katika mpango wa matekelezo:
1. SGR
2. Bandari kavu
3. Ujenzi wa mji wa serikali au magufuli city
4. Ujenzi wa barabara za dual carriages way za njia nne katika barabara kuu nne za kuunganisha jiji la Dodoma pamoja na mikoa inayoizunguka dodoma.
5. Ukamilishaji wa nyumba za kuishi 1000 katika mradi wa iyumbu na maeneo mengine kama kisasa n.k
6. Ujenzi wa international Airport
7. Ujenzi wa kiwanja kikubwa cha mpira cha kisasa
8. Ujenzi wa Arena
9. Ujenzi wa viwanda
10. Ujenzi wa BRT na commuter train
11. Ukamilishaji na ujenzi wa majengo mbalimbali ya maghorofa ambazo ni idara, taasisi, kumbi za mikutano na vitega uchumi kama vile mahoteli na malls pamoja na makazi ya watumishi mbalimbali wa mashirika ya umma na binafsi.
12. Ukamilishaji ujenzi wa ikulu
13. Ukamilishaji ujenzi wa kambi kuu ya JWTZ
14. Kuunganishwa na dar es salaam kwa njia 4
15. Mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria.
Hivi jamani mpaka hapo bado kuna haja ya ku-battle, yaani unaanzaje kulilinganisha li-giant and super modern city na vijiji vikubwa kama Mwanza visivyo na CV yeyote wala future kubwa.
Wala wanafanya hii battle siyo Wagogo ni Mwanza haters wengi siyo Wagogo Wala watu wa Dom. Ni watu wa mikoa fulani wengi meno yao Yana rangiwakajambe mbele uko.....sijui nani aliyewadanganya jaman! hawajui kama uyu jamaa aliyeanzisha hili battle alikuwa na nia tu ya kutaka bandiko lake liwe na comment nyingi wao wamejaa kweli wakiamin bandiko la jamaa ni la kweli! we mwanza imetangulia zaid ya miaka 22 uko eti nyie juz tu hata miaka 6 hamna mnataka battle, ukiangalia mji wenyewe kama jangwa vile hamna kivutio chochote cha maana lakini bado tu mnapata ujasir wa ku battle na jiji ambalo lina
boti , meli & ferry za kutosha
- hali ya hewa fresh
- tunalima mazao karibu yote
- tunachimba madini
- tunafuga
- tunavua
- tuna usafir wa majin
mwanza ndio jiji pekee linalosafirisha minofu nje ya nchi kuna wagogo wengine nadhan mlikuwa bado hamjazaliwa kulikuwa na ile kashfa ya mapank ambayo ili trend dunia nzima sasa ile kashfa ilikuwa madege makubwa yanatua mwanza na kusafirisha Minofu ya sangara nje ya nchi sasa tangu kipindi iyo Mwanza bado inatamba kama jiji, inasikitisha wagogo juzi tu utawala wa magu nao wamepandishwa hadhi kipolitics tu kwa sababu dodoma ndio mji wa kiserikali bas wanaanza battle eti na jiji ambalo kitambo tu limetawadhwa. acheni ushamba wenu wagogo mwanza sio saizi yenu
- uwanja wa ndege tofauti na wenu
- viwanda vya kutosha tofauti na ugogoni uko
Hizi Nyumba huwa naziona Mitaa ya Malaika Beach huwa nafanyia jogging njia hiyo. Mzee huwa nauma kidole tu Mzee baba, najiona fala sana watu wenzangu sijui wamenizidi Nini Mzee, ipo moja kwenye Kona ya new terminal la airport pale Ina parking ya magari juu ya Nyumba. Watu wanasifa sana dunianiView attachment 2082665
View attachment 2082667
View attachment 2082669
Karibuni mza watani.
Nyumba kama hizi dodoma zinajengwa na serikali tena anajengewa Spika
Haha. Roundabout Buswelu ziko mbili. Moja center ingine Halmashauri aka Wilayani. Buswelu Ina roundabout nyingi kuzidi miji mingi hapa Tz haha. Usisahau ingine Kisesa, Usagara, airport hizi nimetaja za nje ya mji.Pale wilaya wamefanya mambo makubwa japo ujenzi bado unaendelea natamani kwenye hizo keep left za buswelu wangeweka bustani nzuri kama pale samaki.
Mwanza wameijenga Wasukuma na Dodoma nayo kajenga Msukuma, tabia zilezile namna ya kufikiri ileile na maarifa ni yaleyale, sasa tofauti inatoka wapi?Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD
Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.
Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.
CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.
MADHAIFU:
I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"
II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.
III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.
IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)
V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.
But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.
TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Ziko wapi? π€£π€£Keep left kwa Mwanza ndio mahala pake sema nikutumie keep left za buswelu tu ndio zinapaswa ushindane nazo lkn sio za Mwanza, pili nimeona nabishana na mtu ambaye hajawahi kufika Mwanza, na kama ungekuwa umefika usingeuliza swali la kijinga kama ili.
ππππ Inategemea nini?Mwanza haitegemei serikali kama wakitaka kuleta maendeleo zaid ni hiyari yao lakini sisi tunasonga nyie kaeni mkitegemea kujengewa nyumba na serikali.
Wasukuma wakaacha kujenga kwao wakaja kujenga Dom,very funny πππ.Mwanza wameijenga Wasukuma na Dodoma nayo kajenga Msukuma, tabia zilezile namna ya kufikiri ileile na maarifa ni yaleyale, sasa tofauti inatoka wapi?
Weka picha acha manenoLumumba,nyerere,salima koni,posta mpa(samaki),airport,wiyalani busweru,kitangiri nk
Utakuwa huna macho tazama vizuri kuna mjumbe kapost baadhi ya keep left, ila ww utakuwa una mchanganyiko wa watu kutoka kigoma na njombe, unapenda sana ligi.Weka picha acha maneno