Feke b kidume
Senior Member
- Sep 13, 2024
- 138
- 73
Chukua hiyo mwanza dude kubwaunachekesha sana aisee...eti hizo graphics ni picha za Mwanza πππ.Naona umeipumzisha ID yako ya sikuzote umekuja na ID nyingine.....joined last week πππ
Lete mandhari nzuri ya ziwa kama hii hapo ukame city π π π πChukua hiyo mwanza dude kubwaView attachment 3098995View attachment 3098996View attachment 3098997View attachment 3098998View attachment 3098999View attachment 3099000View attachment 3099001View attachment 3098995View attachment 3098996View attachment 3098997View attachment 3098998View attachment 3098999View attachment 3099000View attachment 3099001
Hizi hapaπππLete mandhari nzuri ya ziwa kama hii hapo ukame city π π π π
Kila Jiji slums zipo Nairobi ndo Jiji lenye slum nyingi zaidi afrika licha ya kuwa pia ndo Jiji la kitajiri east Africa huna jipya wenye akili ndo waongeee π π π π π π π π πHizi hapaπππ
Title ya thread ni Dom City vs Mwanza City sio Nairobi ππ.Vp Dom kuna slums kama hizo za Mwanza..?. Tumia ID yako ya sikuzote naona kilasiku unakuja na ID mpyaπππKila Jiji slums zipo Nairobi ndo Jiji lenye slum nyingi zaidi afrika licha ya kuwa pia ndo Jiji la kitajiri east Africa huna jipya wenye akili ndo waongeee π π π π π π π π π
Koma kulinganisha Hicho Kijiji Cha jangwani na the cityTitle ya thread ni Dom City vs Mwanza City sio Nairobi ππ.Vp Dom kuna slums kama hizo za Mwanza..?. Tumia ID yako ya sikuzote naona kilasiku unakuja na ID mpyaπππ
Mbona majengo yote hayo kasoro Moja tu yapo chuo Cha mipango Cha mwanza au huelewi kitu.
Toa uchafu wako hapa, mara nyumba za tope kwenu mbeya kuko hovyo sana ndiyo maana unajifariji na Dodoma na ishakufanya kuku mgeni hakosi kamba mguuni. Unaisujudia na kuiabudu kama jehu. Wenge la makao makuu na project za kiserikali na taasisi zake zinakutia wenge huangalii kipato Cha raia mmoja mmoja kipoje kwa wanadodoma.Iko hivyo Kwa sababu hakuna mkono wa Serikali kama huko kwingine.
Harafu Mbeya sio ya baridi kama unavyodhani,wenyeji wake wanajenga Jiji lao , Serikali ikiongeza Nguvu mambo itanoga zaidi.
Mbeya ππ
View attachment 3097616View attachment 3097617View attachment 3097618View attachment 3097619View attachment 3097620View attachment 3097621View attachment 3097622
Si unajionea mwenyewe, mnapagawa na vitu vodogo mno. Maendeleo hayapimwi namna nyie mnataka. Dodoma mbumbumbu ni wengi na wewe ni mmoja wapo.π€£π€£π€£π€£π€£ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAAdqgQNHpR/?igsh=Z2VkcGtlajYxdnR3
Unarudia rudia vipicha,mbona sijaona kitu Cha kustaajabisha macho?Chukua hiyo mwanza dude kubwaView attachment 3098995View attachment 3098996View attachment 3098997View attachment 3098998View attachment 3098999View attachment 3099000View attachment 3099001View attachment 3098995View attachment 3098996View attachment 3098997View attachment 3098998View attachment 3098999View attachment 3099000View attachment 3099001
ππππ¨ Hii nyundo ya Mbeya ulipiga tuu lazima Mwanza ijambe ππππToa uchafu wako hapa, mara nyumba za tope kwenu mbeya kuko hovyo sana ndiyo maana unajifariji na Dodoma na ishakufanya kuku mgeni hakosi kamba mguuni. Unaisujudia na kuiabudu kama jehu. Wenge la makao makuu na project za kiserikali na taasisi zake zinakutia wenge huangalii kipato Cha raia mmoja mmoja kipoje kwa wanadodoma.
Unaharibu Uzi kuweka uchafu wa mbeya humu. Wewe uanzishe Uzi halafu wewe mwenyewe uuharibu, hapa ni Dom na mwanza CBD we paka.ππππ¨ Hii nyundo ya Mbeya ulipiga tuu lazima Mwanza ijambe ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DAEoOjMNOrZ/?igsh=bXQxejNnbHBsNHo2
Jamba taratibu unaweza jiharishia ππUnaharibu Uzi kuweka uchafu wa mbeya humu. Wewe uanzishe Uzi halafu wewe mwenyewe uuharibu, hapa ni Dom na mwanza CBD we paka.
Soon naanzisha hiyo madaBadilisha tittle iwe mwanza CBD vs mbeya and Dodoma CBD combined
Tutakupiga makonzi kama kawaida yetu.Soon naanzisha hiyo mada
Unachoshauriwa na ulio nao karibu tunza iwe siri yako usituletee humu.Jamba taratibu unaweza jiharishia ππ
π¨π¨π¨π¨Unachoshauriwa na ulio nao karibu tunza iwe siri yako usituletee humu.
Hahaha aiseee mbona huku mwanza haya ni mabanda ya kuku π π π πUnarudia rudia vipicha,mbona sijaona kitu Cha kustaajabisha macho?
Mbeya Moja ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAFu4BrqbED/?igsh=MXcxajRqaGl2cXE3MQ==