Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

unachekesha sana aisee...eti hizo graphics ni picha za Mwanza πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.Naona umeipumzisha ID yako ya sikuzote umekuja na ID nyingine.....joined last week πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Chukua hiyo mwanza dude kubwa
FB_IMG_1726593561273.jpg
FB_IMG_1726593554892.jpg
FB_IMG_1726593547954.jpg
FB_IMG_1726593531498.jpg
FB_IMG_1726593486225.jpg
FB_IMG_1726593371004.jpg
FB_IMG_1726593358279.jpg
FB_IMG_1726593561273.jpg
FB_IMG_1726593554892.jpg
FB_IMG_1726593547954.jpg
FB_IMG_1726593531498.jpg
FB_IMG_1726593486225.jpg
FB_IMG_1726593371004.jpg
FB_IMG_1726593358279.jpg
 

Attachments

  • WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.53-PM-860x574(1).png
    WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.53-PM-860x574(1).png
    599.7 KB · Views: 2
  • WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.53-PM-1-615x410.png
    WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.53-PM-1-615x410.png
    460.7 KB · Views: 2
  • WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.54-PM-615x410.png
    WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.54-PM-615x410.png
    339.9 KB · Views: 3
  • WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.49-PM-615x410.png
    WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.49-PM-615x410.png
    323.9 KB · Views: 3
  • WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.42-PM-615x410.png
    WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.42-PM-615x410.png
    339 KB · Views: 3
  • WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.48-PM-615x410.png
    WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.48-PM-615x410.png
    457.8 KB · Views: 2
  • WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.53-PM-860x574.png
    WhatsApp-Image-2022-12-06-at-5.42.53-PM-860x574.png
    599.7 KB · Views: 4
Hizi hapaπŸ˜€πŸ˜€πŸ‘‡
Kila Jiji slums zipo Nairobi ndo Jiji lenye slum nyingi zaidi afrika licha ya kuwa pia ndo Jiji la kitajiri east Africa huna jipya wenye akili ndo waongeee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kila Jiji slums zipo Nairobi ndo Jiji lenye slum nyingi zaidi afrika licha ya kuwa pia ndo Jiji la kitajiri east Africa huna jipya wenye akili ndo waongeee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Title ya thread ni Dom City vs Mwanza City sio Nairobi πŸ˜€πŸ˜€.Vp Dom kuna slums kama hizo za Mwanza..?. Tumia ID yako ya sikuzote naona kilasiku unakuja na ID mpyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Title ya thread ni Dom City vs Mwanza City sio Nairobi πŸ˜€πŸ˜€.Vp Dom kuna slums kama hizo za Mwanza..?. Tumia ID yako ya sikuzote naona kilasiku unakuja na ID mpyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Koma kulinganisha Hicho Kijiji Cha jangwani na the city
Δ°conic infrastructures you will never find in Dodoma desert
20240918_105029.jpg
20240918_105041.jpg
 
Iko hivyo Kwa sababu hakuna mkono wa Serikali kama huko kwingine.

Harafu Mbeya sio ya baridi kama unavyodhani,wenyeji wake wanajenga Jiji lao , Serikali ikiongeza Nguvu mambo itanoga zaidi.

Mbeya πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3097616View attachment 3097617View attachment 3097618View attachment 3097619View attachment 3097620View attachment 3097621View attachment 3097622
Toa uchafu wako hapa, mara nyumba za tope kwenu mbeya kuko hovyo sana ndiyo maana unajifariji na Dodoma na ishakufanya kuku mgeni hakosi kamba mguuni. Unaisujudia na kuiabudu kama jehu. Wenge la makao makuu na project za kiserikali na taasisi zake zinakutia wenge huangalii kipato Cha raia mmoja mmoja kipoje kwa wanadodoma.
 
Toa uchafu wako hapa, mara nyumba za tope kwenu mbeya kuko hovyo sana ndiyo maana unajifariji na Dodoma na ishakufanya kuku mgeni hakosi kamba mguuni. Unaisujudia na kuiabudu kama jehu. Wenge la makao makuu na project za kiserikali na taasisi zake zinakutia wenge huangalii kipato Cha raia mmoja mmoja kipoje kwa wanadodoma.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ”¨ Hii nyundo ya Mbeya ulipiga tuu lazima Mwanza ijambe πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAEoOjMNOrZ/?igsh=bXQxejNnbHBsNHo2
 
Back
Top Bottom