ππKwahiyo kwako Jamiiforums sio source ya references+ information ....mbona ulijianzishia hii threadππKichwa Cha panzi, reference zako ni thread za jamii forum,
Huna hoja bhana.ππKwahiyo kwako Jamiiforums sio source ya references+ information ....mbona ulijianzishia hii threadππ
Mwanza City: The Photo Gallery
a special thread for the rocky city. let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....www.google.com
Dom ni Jiji la Kimataifa sio sawa na hicho Kijiji Cha wavuvi ππUingereza kufungua ubalozi Dom ndo kunaifanya Dom kuizidi Mwanza, una wenge dogo.
Kivipi uwepo wa ubalozi Dom umeipiku Mwanza?.
Mbeleko ya miradi ya SSH huko Mwanza ni kubwa kuliko Shujaa wenu ππ
Tofautisha Dodoma CC vs Dodoma RegionDodoma masikini wakutupwa pia yanajisaidia vichakani hovyo
Kasi ipi hiyo wakati ongezeko la watu limepungua na badala yake Kasi imehamia Dom?Mwanza nyingine sio hii ninayoijua bro mwanza ni jiji linalokuwa kwa Kasi sana
Acha ushamba wa kuleta picha Moja mohay,leta view ya mtaa mzima.Halafu watu wa Dodoma mnachekesha hizi ndio bei za viwanja vya maeneo yenu ambayo ndio mnaona wakaa wakishua, kama wakishua ndio wanakaa haya maeneo bado Dodoma haina maeneo ya mafogo aka wenye pesa, haya maeneo ni kama Nyashishi na KishiriView attachment 3120395
ππHuyo jamaa na wenzake hawana akili ndiomana huwa wanaleta takwimu za Mwanza RC(yenye halmashauri 8) wanalazimisha ziwe za Mwanza CC ππ.Yaani wote hawajui tofauti ya RC na CC- hii ni Civics ya form twoππTofautisha Dodoma CC vs Dodoma Region
Subiri waje wakwambie leta video au picha ya drone....πππTofautisha Dodoma CC vs Dodoma Region
Usitafute kichaka Cha kujifichia ππ
Jiji linalotegemea wavuvi haliwezi kushindana na Dom HQ.Mtakula sana vumbi wakati Dom is sailing ππ
View: https://x.com/Hakingowi/status/1846912221055443097?t=84n5xTwbU3Od0EEmhqUO8A&s=19
Mtaoga sana vumbi huko Mwanza is Big Slum ππKichwa Cha panzi, reference zako ni thread za jamii forum, nilijua una akili japo kidogo kumbe ni lofa pro max. Ulipokataa report za NBS nikajua una chanzo chako Cha kutegemea kumbe ujinga mtupu. Na nimekutafuta ili nikupime vizuri uwezo wako inatosha kusema wewe ni mvupumba.
Visikuzuzue ubora haupimwi na kitu kimoja, usiwe kama shaga ako masareDom HQ
-Outer Ring road
-Inner Ring road
Both are dual carriage way.
Mwanza is Slum will keep on dreaming
Dom is very far ahead of your fishing town by any metricsVisikuzuzue ubora haupimwi na kitu kimoja, usiwe kama shaga ako masare
According you.Dom is very far ahead of your fishing town by any metrics
Dom wanapendelewa sana aisee...tangu tupate uhuru hakuna mji umewahi kujengewa dual carriage way.Mwanza wao bado wanapambana na changamoto ya barabara mpaka leo πππDom HQ
-Outer Ring road
-Inner Ring road
Both are dual carriage way.
Mwanza is Slum will keep on dreaming
Dom bila JPM mngeendelea kuyaona maghorofa kwenye kideoDom wanapendelewa sana aisee...tangu tupate uhuru hakuna mji umewahi kujengewa dual carriage way.Mwanza wao bado wanapambana na changamoto ya barabara mpaka leo πππ
Dom Ina jam Gani hata hivyo. Hizo Barabara ni faida kiserikali siyo nyinyi wamiliki maguta. Ndo maana zinajengwa huko porini target yake siyo nyinyi.Dom wanapendelewa sana aisee...tangu tupate uhuru hakuna mji umewahi kujengewa dual carriage way.Mwanza wao bado wanapambana na changamoto ya barabara mpaka leo πππ
Dom bila JPM mngeendelea kuyaona maghorofa kwenye kideo
Ring roads, airport, magufuli city, nyumba za matasisi ya serikali, makao makuu ya baadhi ya taasisi za kiserikali, uwanja wa mpira ambao nao unayeyuka kinywani n.k ni matokeo ya Mzee baba. Bunge lilikuwepo Toka muda Dodoma haikuwa na value yoyote. Kama huelewi usibishane hivyo hovyo. Kuna aliyejenga TAMISEMI mbona unakuwa fala mdogo wangu??. Nimekufuatilia jomba wewe ni hamnazo.-JPM ndio alijenga Udom..!!?
-JPM ndio alianzisha CDA..!?
- JPM ndio alijenga Bunge..!!?
-JPM ndio alijenga TAMISEMI..!?
-JPM ndio alijenga Benjamin Mkapa Hospital ..!!?
Rudi shule