Matokeo ya haya yote ni uzuzu wa watu kama masareRing roads, airport, magufuli city, nyumba za matasisi ya serikali, makao makuu ya baadhi ya taasisi za kiserikali, uwanja wa mpira ambao nao unayeyuka kinywani n.k ni matokeo ya Mzee baba. Bunge lilikuwepo Toka muda Dodoma haikuwa na value yoyote. Kama huelewi usibishane hivyo hovyo. Kuna aliyejenga TAMISEMI mbona unakuwa fala mdogo wangu??. Nimekufuatilia jomba wewe ni hamnazo.