Upumbavu ndio tabia Yako kwa hyo hatutishwi na ujinga wako....😀😀Kumuelimisha mjinga ni kazisana...hivi kuna mtu yoyote asiyejua Dom ina mtandao mpana wa barabara za lami.
Huyu jamaa na wenzake ndiomana huwa nawadharau sana wanaishia kuokoteza vipicha na kupost hawana facts zozote.
Huyu naye eti anajiita ameelimika hii quotation ya wapi.....duuh pathetic😂😂No pictures no right to speak
Jibu swali kozi yako ya "maendeleo ya jamii" 😂😂😂 certificate au ile ya NTA level 1 ulisomea IRDP ya wapi Mwanza au Dom....tumalize ubishiSijasoma kozi nyepesi kama hizo we fala, usipate wenge na ukaweweseka. Kifupi Mimi na wewe ni watu wawili tofauti kabisa. Tu kwasababu hapa tunapumzikia usifikiri tunafanana. Toa utahira huo kichwani mwako
🤡🤡🤡📴📴📴📴Huyu naye eti anajiita ameelimika hii quotation ya wapi.....duuh pathetic😂😂
Siwezi kuanzisha studio ya picha hata sikumoja...professional yangu sio mpiga picha kama wewe🤣🤣🤣.Kaanzishe ya kwako na wewe usinipangie boya wewe
Certificate ya nyokoJibu swali kozi yako ya "maendeleo ya jamii" 😂😂😂 certificate au ile ya NTA level 1 ulisomea IRDP ya wapi Mwanza au Dom....tumalize ubishi
Huelewi kitu wewe kijiografia daraja la kigongo busisi Lina impact kubwa kwa mwanza jiji kuliko unavyodhani 🤣🤣🤣Huko shule ulienda kusomea ujinga eti...Hii thread inahusu Jiji la Mwanza sio mkoa wa Mwanza 😂😂Daraja la Kigongo-Busisi linaunganisha wilaya za Misungwi na Sengerema.
Daraja linaunganisha wilaya za Misungwi na Sengerema unalazimisha liwe Mwanza mjini😀😀.Kawadanganye wasiojua geography .Huelewi kitu wewe kijiografia daraja la kigongo busisi Lina impact kubwa kwa mwanza jiji kuliko unavyodhani 🤣🤣🤣
Hujajibu swali ...certificate yako ya "maendeleo ya jamii"🤣🤣 ulisomea IRDP main campus Dom au IRDP- Mwanza chini ya NACTVET 😂😂😂😂😂😂😂😂Certificate ya nyoko
Unaongelea certificate unafikiri tunalingana we fala. Ukisoma level hiyo inatosha usitushirikishe level yako ya elimu sisi zaidi tutakudharau.Hujajibu swali ...certificate yako ya "maendeleo ya jamii"🤣🤣 ulisomea IRDP main campus Dom au IRDP- Mwanza chini ya NACTVET 😂😂😂😂😂😂😂😂
my concern is on the background 😀😀...Mwanza is precisely the slum city in whole of East Africa
mbona unaruka ruka swali gumu au...😀😀tuambie certificate yako ya community development under NACTVET ulisomea wapi IRDP Dom au Mwanza tumalize ubishi🤣🤣Unaongelea certificate unafikiri tunalingana we fala. Ukisoma level hiyo inatosha usitushirikishe level yako ya elimu sisi zaidi tutakudharau.
Achana na Mimi usijichekeshe Sina sura laini Mimimbona unaruka ruka swali gumu au...😀😀tuambie certificate yako ya community development under NACTVET ulisomea wapi IRDP Dom au Mwanza tumalize ubishi🤣🤣
You might be a senior idiot.my concern is on the background 😀😀...Mwanza is precisely the slum city in whole of East Africa
🤣🤣🤣🤣Kama hujui bora muwe mnauliza sio kuropoka kama mbwa kokoHili ni Jengo la PSSSF ..Gold Crest ni wapangaji tu pale basement parking ni shida kwa jinsi palivyobanana😂😂.
Swali lipo palepale nitajie hoteli yoyote Mwanza yenye ukubwa(square meters) wa eneo kama wa St Gaspar Hotel Dom yenye conference centers nyingi within one area na yenye uwezo wa kuhost magari zaidi ya 1000 parking kwa wakati mmoja😀😀😀
Nje ya hapo CBD kuna zile dream houses zenu 😆😆View attachment 3128980View attachment 3128981View attachment 3128982View attachment 3128983View attachment 3128984hakuna kuomba maji hapa Nyerere monument streetView attachment 3128985
Kinachowapa maumivu watu wa Mwanza ni hiki kinachoendelea Dodoma HQ 👇👇Achana na Mimi usijichekeshe Sina sura laini Mimi
Hawa vijana siyo wazima kabisa, yani hii ndiyo CBD iliyofunguliwa thread, Dodoma bado safari ni ndefu sana.Dodoma capital city 🤣🤣View attachment 3128576