Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Kwa hiyo wewe peke yako ndio unauona huo uchafu? 😁😁Mimi Niko Dodoma Kwa Sasa maeneo ya Kikuyu karibu na st John ..
Aisee acha kulinganisha Mwanza na huu uchafu ninaouona hapa....
Huku Kikuyu Kuna Hadi zile nyumba za tope za wagogo...
Vumbi Sasa
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Ma weee yaani nje ya CBD ni vinanda vya slums tupu 😆😄
😆😆Nje ya CBD ya Mwanza kuko.hivi 👇Huyo ni mgogo hajui lolote msamehe bure
Dom haitegemei CBD tuu,Dom ni Jiji la kisasa huduma zimetawanyika toa ushamba wa Mwanza.Hapa ndio Dom mjini. Huo mtaa ndio maarufu unaitwa kuu Street,
Kale kaghorofa karefu ndio hoteli imejengwa siku hizi,
Nyerere Square iko hapo
Uwanja wa ndege upo hapo
Maeneo ya are c na area d nayo yanaonekana pia.
Yaani ile mitaa ya rufiji, Uhuru, mkanyenye, ina ghorofa nyingi kushinda CBD ya Dodoma. Ndio maana hawaleti picha, sisi tulioishi dodoma tunauchuna hatutaki kuwaabisha.
Hii hapa Mwanza halisi 😝😝😝[emoji23][emoji23] hapo umeiona buswelu?, Umeiona nyasaka hapo?, Umeiona bwiru hapo?, Hapo umeiona Ghana, umeiona mission hapo, pasiansi umeiona hapo au umeona hata sehemu ndogo ya kiseke hapo? Au umeona kuna airport hapo? Au umeiona kirumba hapo?
Kamji ka hovyo Sana hako yaani Mji wote ni slums, huwezi Kuta uchafu kama huu Dom3.Isamilo Nyamagana cc and next coming............ Nyamongoro area,Busweru area,capri point area,ilemela near airport,nyashishi area,kisesa area,kiseke area,Nyasaka area,kiloleli area,mahina kati area.
View attachment 2083687
View attachment 2083688
View attachment 2083689
View attachment 2083690
View attachment 2083693
View attachment 2083694
View attachment 2083695
View attachment 2083697
Acha ushamba wa kuchukua picha za mwanza unasme dodomaKwa hiyo wewe peke yako ndio unauona huo uchafu? [emoji16][emoji16]
Kwanza Mwanza nzima kuna hata apartments kweli?
Dom kama Dom [emoji116]
View attachment 2084190
View attachment 2084191
View attachment 2084192
View attachment 2084193
View attachment 2084194
View attachment 2084195
View attachment 2084196
Ilikuja.kwa.bahati mbayaAcha ushamba wa kuchukua picha za mwanza unasme dodomaView attachment 2084227
[emoji23][emoji23] sasa ilivyokuja kwa bahati mbaya si uliiona ni nzuri ndo maana ukaamua uipost au sio hivyo?Ilikuja.kwa.bahati mbaya
Full magorofa sio kama ule Mji wa CBD tuu.Hii ni dodoma ambayo unakesha unatupigia keleleView attachment 2084229
Ni Kama una utoto mwingi hivi, I doubt your ageFull magorofa sio kama ule Mji wa CBD tuu.
Well planned and organized.
Dom the Capital City of Tzn [emoji116]
View attachment 2084238
View attachment 2084239
View attachment 2084240