Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Kitu ambacho hukijui ni kwamba, NHC kupitia JV wana heavy projects kama 8 ndani ya CBD, Gorofa zinakula nyundo then zinanyanyuliwa scraper mojawapo inaenda 22f nyerere road jirani na Nyerere plaza, Mkabala na central market kuna site mbili zote zinaenda 12f,na maeneo mengine, NHC mitaa ya rufiji kuna nyumba 6 zinakula nyundo na wapangaji wameshahama project ni hospital, NHC wamechukua eneo maeneo ya kigongo karibu na daraja projects Samia scheeme 1000houses zote flats, Bugando hospital wana project mbili, mojaa ni 8f na nyingine ni 15f, Ilemela maeneo ya sangabuye kuna projects zinaendelea, Nyamhongoro wana project ya green and smart city, TBA gana wana blocks nane, moja inaenda kukamilika mbili zina 1f now, Mkabala na rocky city malls kuna project ya 11f,nyie endeleeni kujidanganya, Mwanza haiwezi poa hata kidogo,
Mkuu hii nimeisikia naambiwa hata Bugando wanajenga cafe Yao matata sana ,,,pia Bugando hao hao Wana eneo lao ibanda nasikia wanaangusha mabweni ya kibabe naipenda mwanza ooooh mwanza mwanza mji mji mzuri mwanza in lemi ongala voice
 
Ulisema umeondoka tangu 2018🤣🤣🤣
2018 nilikuwa likizo na ndo nilienda benki Moja ya kiislam wenyewe nilivowauliza wakasema imetokea Zanzibar 🤣🤣🤣 Sasa nahisi Zanzibar ndani ya mwanza Wana benki mbili ila mwaka huu nilikuwa mwanza majira ya kiangazi ndo nikapita hapo ukameni village kwa Sasa nipo Dar kumwelewesha mshamba ni tatizo kweli kweli🤣🤣🤣🤣
 
Dom tena💥💥👇👇


Yaani kuanzia mwakani Dom litakua jiji pekee lenye viwanja viwili vya ndege vinavyotumika ndani ya mji mmoja.Ukijumlisha na viwanja vya jirani vya Mvumi,Mpwapwa,Kondoa,Kongwa hapo ni zaidi ya vitano.
Ukija Mwanza sasa😀😀mkoa mzima(wenye halmashauri 8) una kiwanja kimoja tu na chenyewe upanuzi haukamiliki tangu enzi za JK ni siasa tu
Sasa wakumulaumu nani?. Viwanja vitano ndani ya mkoa mmoja ni matumizi mabaya ya kodi zetu na kukosa maarifa
 
Bado hujasema😀😀
Hivi wewe ni jinga la wapi mwanza ni ya pili kwa domestic flights za ndege baada ya Dar mpaka Sasa hivyo viwanja 5 vinatumiwa na ndege kunguru au mwanza airport wanajenga lounge ya kisasa hakuna mfano Juzi Juzi mkurugenzi wa ATCL amesaini mikataba na amesema mwanza ni uwanja wao wa kimkakati tunakushangaa kwa nguvu unayotumia kujitutumua kama vile watu hawaijui Dodoma au hiyo Sumbawanga kwenu huko maporini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bado hujasema😀😀
Mwanza ni nchi Dodoma bado sana huwezi linganisha na jiji lenye halmashauri mbili zinazounda jiji ilemela na nyamagana bado sana na hivi karibuni kisesa nayo itakuwa wilaya Sasa hapo sijui itakuwaje🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa wakumulaumu nani?. Viwanja vitano ndani ya mkoa mmoja ni matumizi mabaya ya kodi zetu na kukosa maarifa
Bro mbona anakusumbua tu huyo zwazwa Dodoma inajulikana nje ndani hakuna jipya zaidi huto tujengo twa wizara 🤣🤣🤣
 
kisasa hakuna mfano Juzi Juzi mkurugenzi wa ATCL amesaini mikataba na amesema mwanza ni uwanja wao wa kimkakati
ficha ujinga wako wewe MEMKWA tangulini shirika la ndege ATCL likajenga uwanja wa ndege😀😀😀. Viwanja vya ndege vyote Tanzania vipo chini ya TAA.
😀😀😀Tumia ID yako ya sikuzote manake hii unayotumia inaonesha umejoin JF mwezi uliopita....utaendelea kuaibika tu🤣🤣
 
IMG_20241022_114748.jpg

Nera, a new upcoming CBD
 
ficha ujinga wako wewe MEMKWA tangulini shirika la ndege ATCL likajenga uwanja wa ndege😀😀😀. Viwanja vya ndege vyote Tanzania vipo chini ya TAA.
😀😀😀Tumia ID yako ya sikuzote manake hii unayotumia inaonesha umejoin JF mwezi uliopita....utaendelea kuaibika tu🤣🤣
Uwiiiiiiiiii🤣🤣🤣😃wewe bwabwa kweli ngoja nikutafutie link mshamba wewe duuuh amesema wanajenga airport lounge ya kisasa sana kwa kushirikiana na TAA JF imekushinda huna jipya🤣🤣🤣🤣 Mwanza mwendo mdundo na bado nyie vilaza wa ukameni village 🤣🤣🤣🤣🤣
 
😀Mwambie huyo mshamba aende facebook akabishane comments zake utasikia mimi nipo Dar🤣🤣
Ulitaka niseme nipo ukameni village au Mbeya maporini wajanja wanaishi Mwanza na Dar kidooooooooooooooooooogo Arusha japo nacho ni kimji kidogo kilometa 5 tu ukitoka nje huko unaanza mapori🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom