Kaka mbona Rufiji street ni kali sana kuliko hapo!Sema rufiji street vs Dodoma cbd
Kishindo Cha Ndejengwa new CBD π₯π₯Kaka mbona Rufiji street ni kali sana kuliko hapo!
Hakuna kitu hapo jombaaπ€£π€£π€£Kishindo Cha Ndejengwa new CBD π₯π₯
View: https://www.instagram.com/p/DBeoRzDiYuI/?igsh=MXY0bHFiOGQwNXVhag==View attachment 3133779View attachment 3133780
Joto ardhi = heat period π€£π€£Kwenye mambo ya msingi Kitaifa kama Nishati nk huwezi ikuta Mwanza.
Mbeya na Dom ipo ππ
View: https://www.instagram.com/p/DBf45A9iyK9/?igsh=MjIyaGFzaW9iMDdp
Mbeya pekee itaweza zalisha megawatt 130 Kwa kuanzia,huo ni mradi mkubwa Mtera ikasome.Joto ardhi = heat period π€£π€£
Hili TANGAZO unalirudiarudia sana una ubia na dalali?
π¨π¨π¨ Dom HQ π πHili TANGAZO unalirudiarudia sana una ubia na dalali?
Hapa ni Manispaa ya Ilemela sio Mwanza jijiView attachment 3129686
Dodoma CBD
Vs
View attachment 3129689View attachment 3129691
Ghana street - mwanza
Ipoh tangu 1994 nakumbukaMwanza ina benki nyingi sana siwezi kuzihesabu iyo benki ya Zanzibar ilikuwepo tangu zamani sana mie kabla sijaondoka mwanza niliwahi kwenda hiyo benki IPO karibu na Belmont hotel barabara ya Kenyatta na ilikuwa 2018 sema Rais wa Zanzibar alikuwa hajaizindua hakuna kitu kitatoka Dar kiiruke mwanza eti kiende mkoa mwingine hiyo haipo π€£π€£π€£π€£
Hivi Mbeya nayo IPO kwenye ramani ya Dunia mji mbovu tu nyumba za udongo mpaka CBD hahahahaKwenye mambo ya msingi Kitaifa kama Nishati nk huwezi ikuta Mwanza.
Mbeya na Dom ipo ππ
View: https://www.instagram.com/p/DBf45A9iyK9/?igsh=MjIyaGFzaW9iMDdp
Mbona Mwanza Kuna mabanda ya nguruwe mpaka CBD na hatusemi? ππHivi Mbeya nayo IPO kwenye ramani ya Dunia mji mbovu tu nyumba za udongo mpaka CBD hahahaha
Mimi sijui kusoma kama ipo au haipo labda unisaidie wewe kusoma hapa chini ππππHivi Mbeya nayo IPO kwenye ramani ya Dunia mji mbovu tu nyumba za udongo mpaka CBD hahahaha