Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Kaka mbona Rufiji street ni kali sana kuliko hapo!
Kishindo Cha Ndejengwa new CBD 🔥🔥

View: https://www.instagram.com/p/DBeoRzDiYuI/?igsh=MXY0bHFiOGQwNXVhag==
wizarayamajitz_1729712669460.jpg
wizarayamajitz_1729712668005.jpg
 
Mwanza ina benki nyingi sana siwezi kuzihesabu iyo benki ya Zanzibar ilikuwepo tangu zamani sana mie kabla sijaondoka mwanza niliwahi kwenda hiyo benki IPO karibu na Belmont hotel barabara ya Kenyatta na ilikuwa 2018 sema Rais wa Zanzibar alikuwa hajaizindua hakuna kitu kitatoka Dar kiiruke mwanza eti kiende mkoa mwingine hiyo haipo 🤣🤣🤣🤣
Ipoh tangu 1994 nakumbuka
 
Back
Top Bottom