Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Toa taka taka hapa peleka dampo ..wew unaona hicho kitongoji chako linaweza ingia kwa mitaa ya pamba

View: https://www.instagram.com/reel/DByVp4Rtqll/?igsh=ZWQ1NmVnYTdpeDBr
 
Utalii tiba upo mwanza kitambo, au hujui nikupe madini kidogo. Huku mpaka Kuna boat ziko equiped na kila kitu hospitali inatakiwa kuwa navyo. Tunateleza ziwani shwaaaa mpaka visiwani na huu ndo utalii na tuna mpango wa kutumia drone kuisafirisha damu, dawa na vifaa Tiba visiwani. Utalii siyo kukaa maofisini, utalii ni kutoka na kwenda mahala pengine for pleasure.
Aliyeona Mwanza kwenye List ani tag πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/twendenamama/status/1856932135640187255?t=XGPvTu6WkHupozNORixvpg&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…