Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Mwanza ni kamji la hovyo sana yaani eti hii ndio CBD πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtu.be/51UqgtgC02M?si=XeOjdSIOymzeqkNo

Ukichukua Magufuli City Iko poa kushinda Mwanza achilia mbali Dom CBDπŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 3149122View attachment 3149123View attachment 3149124

Toa taka taka hapa peleka dampo ..wew unaona hicho kitongoji chako linaweza ingia kwa mitaa ya pamba

View: https://www.instagram.com/reel/DByVp4Rtqll/?igsh=ZWQ1NmVnYTdpeDBr
 
Mwanza nzima hakuna mtaa kama huo achilia mbali lami
-620903595.jpg
 

Attachments

  • -620903595.jpg
    -620903595.jpg
    711.9 KB · Views: 9
Utalii tiba upo mwanza kitambo, au hujui nikupe madini kidogo. Huku mpaka Kuna boat ziko equiped na kila kitu hospitali inatakiwa kuwa navyo. Tunateleza ziwani shwaaaa mpaka visiwani na huu ndo utalii na tuna mpango wa kutumia drone kuisafirisha damu, dawa na vifaa Tiba visiwani. Utalii siyo kukaa maofisini, utalii ni kutoka na kwenda mahala pengine for pleasure.
Aliyeona Mwanza kwenye List ani tag πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/twendenamama/status/1856932135640187255?t=XGPvTu6WkHupozNORixvpg&s=19
 
Back
Top Bottom