Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
- Thread starter
-
- #681
Wana ng'wanza njoeni tunsunte kisukuma huyu mtu wa jijini dodoma anatuzalalalalisha bhebhe ankati hapo siyo ng'wanza yaani ng'wanza ndo iwe na slums kibao hivyo bila hata fuyoo nkoi
Mara elfu hapo Dom ukizoom unakutana na maghorofa na nyumba mpya nzuri zenye mipangilio na ni makazi safi kabisa kwa binadamu kuishi kuliko Mwanza ya kina igogo, mabatini, bugarika, igelegele, machinjioni n.kHii ni dodoma ambayo unakesha unatupigia keleleView attachment 2084229
Bora waendelee kuli-design maana kwa haraka haraka nilivyoliangalia tu nikawa najiuliza ni hoteli au kabati la viatuView attachment 2084305
Hoteli hii bado wanadesign itakuwa capripoint
1.DarMwanza ni yakipee lazima wajipendekeze kujilinganisha nayo,mwanza inakilakitu inajitosheleza inauwezo wa kuwa na rais wake na ikajitawala vizuri kuizidi hata zanzibar
Tuwasamehe kiongozi hao ni binadamu wenzetuπππ Mwanza forever.Dodoma ni Moja ni hiyo yenye vumbi imejaa ombaomba vipofu barabarani
Ni kweli, tushindane kwa staha ila si kwa matusi na maneno yasiyofaaTuwasamehe kiongozi hao ni binadamu wenzetuπππ Mwanza forever.
View attachment 2084314
Serikali inaanza kuona aibu sasa
DIT Mwanza Campus, ujenzi utaanza muda wowote mwaka huu, pesa ilishatoka
Kiongozi hii mbona ni kama imeshaanza kujengwa na sasa ni final touch ipo capripoint nyuma ya idara ya maji, nenda katembelee utaniambia.View attachment 2084305
Hoteli hii bado wanadesign itakuwa capripoint
Hapo ni rufijiBattle iendelee hii ni MwanzaView attachment 2084132
Mbona hiyo picha ya jiji la Mwanza hapo au junction ya makongoro na nyerere road nayo ni sehemu ya dodomaKwa hiyo wewe peke yako ndio unauona huo uchafu? ππ
Kwanza Mwanza nzima kuna hata apartments kweli?
Dom kama Dom π
View attachment 2084190
View attachment 2084191
View attachment 2084192
View attachment 2084193
View attachment 2084194
View attachment 2084195
View attachment 2084196
Opportunity nilishakuzoea ukiona battle limekushinda unanza kutuma hii picha ambayo ni duplicated, kila sehemu dunian kuna makazi ya watu duni, lkn Mwanza ukitoa hilo eneo tuma picha nyingine tofauti na hiyo.
Unapenda kupost ikulu na mjengo ya udom nje ya hapo hakuna sehemu nyingine ya maana?
Huyo ni under 18Ni Kama una utoto mwingi hivi, I doubt your age
Nitatuma picha za kule maeneo ya ilemela, malaika beach kuna mijengo zinatishia utawala wa capripoint.View attachment 2084330
Ukipita kule malaika kuna vitu vinashushwa kule balaa
[emoji16][emoji16] kwamba kuna utawala watu wanaenda kumyang'anya capripoint kwa nguvu!......mkuu to be honest kwa sasa moja ya sehemu tamu mwanza ni Kiseke B, na BusweluNitatuma picha za kule maeneo ya ilemela, malaika beach kuna mijengo zinatishia utawala wa capripoint.