Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

IMG-20200414-WA0010.jpg

Hoteli hii bado wanadesign itakuwa capripoint
 
Kitu pekee ambacho dodoma inaizidi mwanza ni kutoa spika jobo ambaye hakumaliza hatam yake ya uongozi, unlike msekwa aliyemaliza hatamu yake.
 
Nitatuma picha za kule maeneo ya ilemela, malaika beach kuna mijengo zinatishia utawala wa capripoint.
[emoji16][emoji16] kwamba kuna utawala watu wanaenda kumyang'anya capripoint kwa nguvu!......mkuu to be honest kwa sasa moja ya sehemu tamu mwanza ni Kiseke B, na Buswelu
 
Back
Top Bottom