Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

😁😁😁Samaki tope hao ndo maana mmedumaa akili
 
Dodoma tatizo watu binafsi hawawekezi sana kwenye kujenga majengo marefu tofauti na Dar,Mwanza na Arusha
Majengo yote marefu ya Dar,Mwanza,Arusha yanamilikiwa/ni uwekezaji wa taasisi za serikali
 
Mwanza haijengwi alisikika mgogo mmoja toka matumbulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…