subiri Mikdde aje kukwambia eti Dodoma ardhi yake ni jangwa haifai kwa kilimo😆😆.Cha kushangaza Dodoma wapo kwenye top list ya uzalishaji wa mahindi kati ya mikoa yote 31 ya Tanzania 😀😀👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subiri Mikdde aje kukwambia eti Dodoma ardhi yake ni jangwa haifai kwa kilimo😆😆.Cha kushangaza Dodoma wapo kwenye top list ya uzalishaji wa mahindi kati ya mikoa yote 31 ya Tanzania 😀😀👇a
Licha ya kwamba Hako ni kasoko kabaya ila mumshukuru Samia.
Dom HQ 👇 👇
View: https://x.com/ayubu_madenge/status/1897934050947379315?t=fwStXqi63JiIG5GaYzU-Mg&s=19
Huwezi pata neighborhood kali kama hii hapo ukameni
View: https://youtu.be/ipESAwyOc44?si=83XWNreCeTLpA2Lj
Huwezi pata neighborhood kali kama hii hapo ukameni
View: https://youtu.be/ipESAwyOc44?si=83XWNreCeTLpA2Lj
Slums made City 😂😂
Huwezi pata neighborhood kali kama hii hapo ukameni
View: https://youtu.be/ipESAwyOc44?si=83XWNreCeTLpA2Lj
Dom HQ ni Makao ya wenye hela na wasomi 👇👇Wasisitize wapitie kwa makini Kuna kitu watajifunza bure kabisa kupitia video hii.
Vichwa maji watasema hii ni London sio mwanza😂😂😂😂hatutaki makelele mengi kuitangza mwanza ila inajitangaza yenyewe Hilo halina ubishi kama wewe ni WA mwanza jipige kifua na ufungue vishikizo vyote utembee kifua mbele mwanza tamu Iam in Dar still mwanza is my hood
CcKilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza 😨
Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.
Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.
Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.
Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Dalili ya maumivu na kukata tamaa 😂😂Kilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza 😨
Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.
Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.
Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.
Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Dalili ya maumivu na kukata tamaa 😂😂
Dom HQ CBD yenye gorofa 2 😂😂👇👇
View: https://youtube.com/shorts/Ho52-ug2Iqs?feature=shared
Safi sana.. ingekuwa hii ripoti ipo mwanza..tungekoma..haya kuleni NHC na mji wa serikali 😹😹😹😁Mwanza is slums ilikuwa ni Kati ya Milo fukara hapa Tanzania ila imejikongoja ikatoka huko so Dom HQ ndio wamebakia.
Dom ipambane Sasa kuinua kipato Cha watu wake ,haipendezi HQ kuwa na sifa hii Dodoma, Coast lag in incomes despite economic significance