Dpresident tz
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 300
- 350
ππpole sana sidhani kama maana ya hoja + facts unaifahamu.Mtu kama hujui kwanini mtama na ufuta vinalimwa Dodoma sasa tutegemee hoja au fact gani kama vitu vidogo vinakushinda.Wewe bakia kuangaika na spelling error.kiswahili cha wapi ...kumbe nabishana na MEMKWA ππ. Huku ni JF sio facebook kama huna hoja+facts utaaibika ndugu
ππ