Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

subiri Mikdde aje kukwambia eti Dodoma ardhi yake ni jangwa haifai kwa kilimoπŸ˜†πŸ˜†.Cha kushangaza Dodoma wapo kwenye top list ya uzalishaji wa mahindi kati ya mikoa yote 31 ya Tanzania πŸ˜€πŸ˜€πŸ‘‡a

Licha ya kwamba Hako ni kasoko kabaya ila mumshukuru Samia.

Dom HQ πŸ‘‡ πŸ‘‡

View: https://x.com/ayubu_madenge/status/1897934050947379315?t=fwStXqi63JiIG5GaYzU-Mg&s=19
Huwezi pata neighborhood kali kama hii hapo ukameni

View: https://youtu.be/ipESAwyOc44?si=83XWNreCeTLpA2Lj
 
Tofauti na uswazi slums Kuna kipi Cha maana wewe umeona hapo? πŸ˜‚πŸ˜‚

Dom HQ πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ‘‡ πŸ‘‡

View: https://youtu.be/7XTetqNHnek?feature=shared
 
Cc
BODI ya ligi
 
Dalili ya maumivu na kukata tamaa πŸ˜‚πŸ˜‚

Dom HQ CBD yenye gorofa 2 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtube.com/shorts/Ho52-ug2Iqs?feature=shared
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…