ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Utashindana na Dom HQ ila utashindwa ππ
huoni aibu kupost vijumba hivyo vilivyojengwa ovyoovyo vinavyoonekana mlimaniππDodoma is bush .. mpaka vilodge pori unatupost humu
Learn hereπView attachment 3269105
Ukiona tuu picha ya Mwanza utaitambua Kwa slums na tugorofa twa kuokoteza katikati ya Extensive slums ππDodoma is bush .. mpaka vilodge pori unatupost humu
Learn hereπView attachment 3269105
Dom Ina hadhi ya kuwa Majimbo 2 Kwa idadi ya watu na Ukubwa wa eneo kama unavyokiri hapa.Sasa kutoka mtumba hadi nala ..katikati kuna machaka na misitu na vijiji
Dodoma isiyo na tugorofa twa kuokotezaπ€£π€£π€£yaani Dodoma ni zaidi ya Mwanza na DubaiUkiona tuu picha ya Mwanza utaitambua Kwa slums na tugorofa twa kuokoteza katikati ya Extensive slums ππ
Alafu hii ndo mwanza ya tugorofa twa kuokotezaUkiona tuu picha ya Mwanza utaitambua Kwa slums na tugorofa twa kuokoteza katikati ya Extensive slums ππ
Umewahi kufika Dodoma au umesimuliwa tuππDodoma isiyo na tugorofa twa kuokotezaπ€£π€£π€£yaani Dodoma ni zaidi ya Mwanza na Dubai
Mimi nimepost picha povu la kazi gani.?? Hayo magorofa ya mdomoni yamejengwa kwa material gani?? π€£π€£π€£Umewahi kufika Dodoma au umesimuliwa tuππ
-idadi ya maghorofa UDOM pekeyake ni sawa na idadi ya maghorofa ya Mwanza City Centre ,
-Bado sijakutajia maghorofa ya Magufuli City,Tambukareli,Njedengwa Investment Area,City Centre,Mji Mpya,Kisasa n.k
Jifunze ku attach picha inatuumiza machoDodoma isiyo na tugorofa twa kuokotezaπ€£π€£π€£yaani Dodoma ni zaidi ya Mwanza na Dubai
Dom HQ π₯ π₯ π πMimi nimepost picha povu la kazi gani.?? Hayo magorofa ya mdomoni yamejengwa kwa material gani?? π€£π€£π€£
Post picha vizuri ionekaneAlafu hii ndo mwanza ya tugorofa twa kuokoteza
Hiyo CBD ya Mwanza Ina utofauti upi na hii CBD ya Dom HQ? ππAlafu hii ndo mwanza ya tugorofa twa kuokoteza
Eti wanauliza wapi Magorofa π€£π€£
Dom HQ π₯ π₯ π π
View: https://www.instagram.com/p/DHG26UGtQKH/?img_index=14&igsh=Y3lxOWVteHViaXR1View attachment 3270150View attachment 3270151View attachment 3270152View attachment 3270153
Acheni kutupigia kelele na vijiji vyenu hivyoAlafu hii ndo mwanza ya tugorofa twa kuokoteza
Naona unaandika huku Unaumia π€£π€£ππAcheni kutupigia kelele na vijiji vyenu hivyo
Aah usiniambie!Naona unaandika huku Unaumia π€£π€£ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DHGYtxuuwWS/?igsh=Y3F0cDF5aGc2eW0z
Dom HQ ikiwa Kijiji na Mwanza is Slum itaitwaje?