ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Utashindana na Dom HQ ila utashindwa 👇👇
View: https://x.com/UhondoTV/status/1900165636229152796?t=02U5syabg4Lb1BIUEkJ5nA&s=19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huoni aibu kupost vijumba hivyo vilivyojengwa ovyoovyo vinavyoonekana mlimani😀😀Dodoma is bush .. mpaka vilodge pori unatupost humu
Learn here👇View attachment 3269105
Ukiona tuu picha ya Mwanza utaitambua Kwa slums na tugorofa twa kuokoteza katikati ya Extensive slums 😆😆Dodoma is bush .. mpaka vilodge pori unatupost humu
Learn here👇View attachment 3269105
Dom Ina hadhi ya kuwa Majimbo 2 Kwa idadi ya watu na Ukubwa wa eneo kama unavyokiri hapa.Sasa kutoka mtumba hadi nala ..katikati kuna machaka na misitu na vijiji
Dodoma isiyo na tugorofa twa kuokoteza🤣🤣🤣yaani Dodoma ni zaidi ya Mwanza na DubaiUkiona tuu picha ya Mwanza utaitambua Kwa slums na tugorofa twa kuokoteza katikati ya Extensive slums 😆😆
Alafu hii ndo mwanza ya tugorofa twa kuokotezaUkiona tuu picha ya Mwanza utaitambua Kwa slums na tugorofa twa kuokoteza katikati ya Extensive slums 😆😆
Umewahi kufika Dodoma au umesimuliwa tu😀😀Dodoma isiyo na tugorofa twa kuokoteza🤣🤣🤣yaani Dodoma ni zaidi ya Mwanza na Dubai
Mimi nimepost picha povu la kazi gani.?? Hayo magorofa ya mdomoni yamejengwa kwa material gani?? 🤣🤣🤣Umewahi kufika Dodoma au umesimuliwa tu😀😀
-idadi ya maghorofa UDOM pekeyake ni sawa na idadi ya maghorofa ya Mwanza City Centre ,
-Bado sijakutajia maghorofa ya Magufuli City,Tambukareli,Njedengwa Investment Area,City Centre,Mji Mpya,Kisasa n.k
Jifunze ku attach picha inatuumiza machoDodoma isiyo na tugorofa twa kuokoteza🤣🤣🤣yaani Dodoma ni zaidi ya Mwanza na Dubai
Dom HQ 🔥 🔥 👇 👇Mimi nimepost picha povu la kazi gani.?? Hayo magorofa ya mdomoni yamejengwa kwa material gani?? 🤣🤣🤣
Post picha vizuri ionekaneAlafu hii ndo mwanza ya tugorofa twa kuokoteza
Hiyo CBD ya Mwanza Ina utofauti upi na hii CBD ya Dom HQ? 👇👇Alafu hii ndo mwanza ya tugorofa twa kuokoteza
Acheni kutupigia kelele na vijiji vyenu hivyoAlafu hii ndo mwanza ya tugorofa twa kuokoteza
Naona unaandika huku Unaumia 🤣🤣👇👇Acheni kutupigia kelele na vijiji vyenu hivyo
Naona unaandika huku Unaumia 🤣🤣👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DHGYtxuuwWS/?igsh=Y3F0cDF5aGc2eW0z
Dom HQ ikiwa Kijiji na Mwanza is Slum itaitwaje?