Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Dodoma ni pazuri, itaipiku arusha mda c mrefu, ila kwa mwanza bado sana, sio mjini tu ata mitaani mwanza ni pazuri sana kushinda miji yote Tz
Dar haihusiki
Una matatizo Sana mkuu,Dom gani ambayo Mwanza na Arusha wanaweza kuishinda?

Dom kama Dom πŸ‘‡

















































 
Wewe ni mjinga ,hizo ni majengo mbalimbali za wizara na hiyo Nyerere square, hotel tayari inafanyiwa finishing,uwanja unajengwa,ring road zinajengwa nk.

Dom hakuna kitu kinaitwa project ya kwenye makaratasi,umeelewa Mzee.
Kiongozi hizi project za kwenye makaratasi zikija kukamilika nitakupa offer ya kitimoto na beer.
 
Naujanja wote huo kumbe unatumia cm za wauza vitumbua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] neno slums nilimekukaa kichwan sana unajua hapo ni wapi?
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜ Naona jamaa umeanza kukata tamaa, Infinix hii hii inafikisha ujumbe

Project za kwenye makaratasi πŸ‘‡





 
[emoji1][emoji1][emoji13][emoji13] Naona jamaa umeanza kukata tamaa, Infinix hii hii inafikisha ujumbe

Project za kwenye makaratasi [emoji116]

View attachment 2084671

View attachment 2084674

View attachment 2084675
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unajisikiaje kuona mtu masikini kutoka mkoa masikini anamiliki simu ya mamilioni halafu wewe unaekaa kwenye mji wa kitajiri unamiliki simu sawa na wauzaa karanga

Jamaa msukuma hajawahi kua mtu wa kupenda sifa... unaleta picha za mabati na igogo bila kujua hayo maeneo yameanza kuchangamka kabla hata ya dodoma kuitwa mji[emoji38]

Miji mikubwa Africa,Asia and South America yote inaslums ukiona mji hauna slums fahamu ya kwamba sio mji mkubwa na ni mji wa juzijuzi
 
Hizi

Kiongozi siku hizi michoro ya kwenye makaratasi ikika



Una miaka mingap?
Sita.Huna akili nakuletea render nanijenzi umekomaa michoro au una kansa ya ubongo maana ndio shida ya huko kanda ya Ziwa.

Hii hapa na mahakama kuu,mahakama ya Rufani na kituo cha haki vyote vinajemgwa ,hiyo picha ya hapo ndio hatua ya ujenzi ukiendelea,hivi wewe Dodoma kwa mara ya mwisho ukifika mwaka gani?

 
Hizi

Kiongozi siku hizi michoro ya kwenye makaratasi ikika



Una miaka mingap?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimefurahi sana alivyo tuma hayo mascreenshot jinsi anavyojiweka matawi ya juu kumbe anatumia infinix nimechoka wacha nimfundishe namna ya kucrop afiche ujinga
 
Kiongoz nimekushusha hadhi usipende dharau masikini wenzako [emoji38][emoji38] na infinix ivi nauli ya kwenda mwanza unayo kweli
 
Wewe maskini wa mali na akili ndio unahangaika na vitu vidogo vidogo kama simu.

Dom ya juzi ishawajambia nyie wa Mwanza mshazeeka mnajifariji kwenye slums.











 
[emoji38][emoji38][emoji38] kiongoz unazidi kujishusha tu nahayo mascreenshot yako now unatumia wife means free yaaani mtelezo alianza ndugai umekuja wewe

Simu ni kitu kidogo kwa watu wanaojielewa wasiopenda sifa ila kwa wewe mpenda sifa ungekua vizuri mfukoni usingenunua infinix
 
Kiongoz nimekushusha hadhi usipende dharau masikini wenzako [emoji38][emoji38] na infinix ivi nauli ya kwenda mwanza unayo kweli
Watu maskini ndio huwa mnahangaika na vitu vidogo Ili kujitutumua na kujifariji 😁😁..

Mwanza ni nyumbani kwa ndugu yangu wa damu nakuka huko mara nyingi tuu ila sipapendi siwezi ishi kwa washamba na wasio na ustaarabu,afu full of slums and poor people.

Karibu Sana Njombe ndio home.
 
Ni kweli Siko vizuri mfukoni lakini haiondoi ukweli kwamba Mwanza ni kubaya na mushajambiwa na Dom yaani haya yote ni maumivu ya ushuzi πŸ˜†πŸ˜„.Ko tulia upate dozi usitapetape.

Ujenzi wa.hoteli ya Kitalii ya Golden Tulip DomπŸ‘‡

 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ona huuu ujinga kumbe na wewe unandugu fukala katoka njombe kaenda mwanza aiseee[emoji38][emoji38][emoji38] mbona kaskip mikoa mingi sana uliwahi kumuuliza tatizo ni au yeye hawezi kununua Kota pale mji wa serikali?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ona huuu ujinga kumbe na wewe unandugu fukala katoka njombe kaenda mwanza aiseee[emoji38][emoji38][emoji38] mbona kaskip mikoa mingi sana uliwahi kumuuliza tatizo ni au yeye hawezi kununua Kota pale mji wa serikali?
πŸ’‰πŸ’‰ Ulishawahi kuona Njombe kuna mafukara kama huko Mwanza.

Yeye ni mtumishi mimi ni mfanyabiashara.Sasa kama kapangiwa kwa mafukara ulitaka akatae?

Tulia sindano ikuingie,siku kijiji cha wavuvi kikifika hapa mnitag πŸ‘‡











 
Kila sehemu ni kubaya kwa namna yake tatizo lako wewe ni kauli unakua nakauli za kishujaa sana kumbe ziro tu... wivu ndio unawasumbua watu wa mikoani afu Msukuma sio mtu wa kujimwambafai kihivyo




Karibu mji wa watu
 
CCM inaharibu vijana akili.. unaniuliza mimi kama nishaona mafukara njombe? Kwani wewe ni nani[emoji38][emoji38][emoji38] na sababu ninazo moja ni hauna hela ya Mb mbili unatumia simu za wachunga ng'ombe huku mwanza tatu ngudu yako naye ni fukara coz kapangiwa kwa mafukara na kakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…