The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mavumbi tuu na vibanda almaarufu masufurika kama alivyosema ndu gay 😄☺️.Toa uchafu hapa.
Here is Dodoma 👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavumbi tuu na vibanda almaarufu masufurika kama alivyosema ndu gay 😄☺️.Toa uchafu hapa.
Rubbish monkey.Wananchi wa dodoma wanaonekana hawana huwezo wa kujenga makazi yao adi wajengewe na serikali, nami nawaombea mjengewe nyumba na muishi bure bila kulipa na kodi.
Unaupiga mwingi mno sisi kama wanamwanza tumenyoosha mikono tuhurumieko basi tusitoe ushuzi maana kiaminio chetu ni kamradi ketu ka vibanda 10 vya watumishi house pale kisesa na ukiendelea kupost mambo ya jijini DOM roho zinatuuma sana.Wale jamaa wa fishing town of Mwanza wamepotea .
More pics of Dodoma
View attachment 2168719
View attachment 2168720
View attachment 2168721
View attachment 2168722
View attachment 2168723
View attachment 2168724
Sisi kama wakazi wa kijiji kikubwa cha milimani unatukera mno tutaandamana haiwezekani kila siku unapost ukweli.Dom sio Jiji la uswazi uswazi kama Mwanza..
Upangaji wa Jiji unaendelea [emoji116]
View attachment 2168725
View attachment 2168726
View attachment 2168727
View attachment 2168728
😂😂Mwanza city(rock city) is a high level of growthMuwe na adabu jamani huwezi fananisha Kijiji kikubwa cha wavuvi na Jiji Kuu la Serikali..
Dodoma- City Nzunguni & Iyumbu ni 🔥🔥 👇
View attachment 2203502
View attachment 2203503
View attachment 2203504
View attachment 2203505
View attachment 2203506
Hayo maelezo hayaakisi uhalisia.
Hizo kilomita 51 kwa Mwanza ziko ndani ya jiji na zina dalala mfano Daladala kutoka ilalila to Misungwi via buswelu ni kilomita 55,Nyingine ni dalala kutoka kisesa to usagara via nata ni kilometa 42,kutoka aiport to k/ferry au daraja la Magufuri ni kilometa 43 nimejaribu kuainisha baadhi ya route ambazo uwezi huko nje ya mji.Kwahiyo wanaotoa hizi takwimu za ukuaji wanavigezo vya kimataifa.Ukweli ni kwamba Mwanza ingewekewa namna kama majiji mengi hata dar ingeshangaHayo maelezo hayaakisi uhalisia.
Baada ya kukamilika km 51 za lami sasa ujenzi wa km 8 zingine inaendelea Dom👇
View attachment 2205889
View attachment 2205890
View attachment 2205892
Kitu kingine hiyo sio barabara moja yenye kilometa 51 ila ni mkusanyiko wa vipande vingi kufikisha kilometa 51 ila kwa mwanza hiyo kilometa 51 ni route moja yenye urefu huo.Hii inasababishwa jiji kuwa muunganiko wa wilaya 5 kitu ambacho kipo Dar na Mwanza pekeeHayo maelezo hayaakisi uhalisia.
Baada ya kukamilika km 51 za lami sasa ujenzi wa km 8 zingine inaendelea Dom👇
View attachment 2205889
View attachment 2205890
View attachment 2205892
Dodoma- ina mtandao mkubwa wa lami kuliko Mji wowote Tzn,hata Dar haifiki afu wewe pimbi unaongea upuuzi hapa 😆😆Hizo kilomita 51 kwa Mwanza ziko ndani ya jiji na zina dalala mfano Daladala kutoka ilalila to Misungwi via buswelu ni kilomita 55,Nyingine ni dalala kutoka kisesa to usagara via nata ni kilometa 42,kutoka aiport to k/ferry au daraja la Magufuri ni kilometa 43 nimejaribu kuainisha baadhi ya route ambazo uwezi huko nje ya mji.Kwahiyo wanaotoa hizi takwimu za ukuaji wanavigezo vya kimataifa.Ukweli ni kwamba Mwanza ingewekewa namna kama majiji mengi hata dar ingeshanga
Unataka iwe barabara moja Ili iwaje?Kitu kingine hiyo sio barabara moja yenye kilometa 51 ila ni mkusanyiko wa vipande vingi kufikisha kilometa 51 ila kwa mwanza hiyo kilometa 51 ni route moja yenye urefu huo.Hii inasababishwa jiji kuwa muunganiko wa wilaya 5 kitu ambacho kipo Dar na Mwanza pekee
Barabara kuwa ndefu na route ndefu ndo maana ya kuwa jiji kubwaUnataka iwe barabara moja Ili iwaje?
Kwenye wewe tumbili,kwamba hujui Dom inajengwa dual carriage Ring roads ya km 120? Tatuta EAC yote kama hiyo.Barabara kuwa ndefu na route ndefu ndo maana ya kuwa jiji kubwa
Nashukuru japo umepaniki.Kwa taarifa yako Mwanza kuna bypass ring road inayounganisha wilaya tano wala usikii kelele inaunganisha Sengerema(busisi),misungwi(usagara),Nyamagana(kishiri),Magu(kisesa),sasa inatengenezwa kuelekea ilemel(kayenze),sema kingine.Kwenye wewe tumbili,kwamba hujui Dom inajengwa dual carriage Ring roads ya km 120? Tatuta EAC yote kama hiyo.