Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hiyo ni seng'enge.sio matusi,kwani hujui?
Dodoma mmeanza kujisahau
EeP1f-oX0AAZUWT.jpg
charcoal-ribs-resort.jpg


1986088_Screenshot_20190208-191448.png
 
Mkiambiwa msafiri hamtaki kutwa mko humu kujifanya wapingaji, sasa kwa akili yako unadhani nchi hii kuna gardens nzuri za mjini kama chinangali na nyerere square?

Hivi umeshawahi safiri na baadhi ya mabasi haya; Kimbinyiko, Shabiby, ABC n.k hivi unadhani usipoenda Dom mshikaji wangu hizi luxury utazijulia wapi?
Alafu kwa kuongezea tu uyo shabiby ndo hubeba tuzo ya msafirishaji bora kila Mpaka. To be honestly Dodoma imetembea sana tuache wivu
 
Wananchi wa dodoma wanaonekana hawana huwezo wa kujenga makazi yao adi wajengewe na serikali, nami nawaombea mjengewe nyumba na muishi bure bila kulipa na kodi.
 
Wananchi wa dodoma wanaonekana hawana huwezo wa kujenga makazi yao adi wajengewe na serikali, nami nawaombea mjengewe nyumba na muishi bure bila kulipa na kodi.
Wakijengewa wanapewa bure?

Hii ni serikali inajenga?👇

Screenshot_20220124-121534_Instagram.jpg


Screenshot_20220125-235414_1.jpg
 

Attachments

  • Dodoma street video.mp4
    6.4 MB
  • 3107294-02c191a6672587431eabca9fcc758ba3.mp4
    1.9 MB
Kumbe Sumbawanga imepangika vizuri hivi! Hongereni
🙏🙏 ,Ni 🔥🔥,Saizi tuko kwenye mradi wa kuweka taa za barabarani kwa Highway ya Tanroads km 12.

Cheki video hiyo👇
 

Attachments

  • Makubwa yamefanyika Jangwani Sumbawanga ( 720 X 1280 ).mp4
    18.2 MB
Back
Top Bottom