Namna unavyoitaja na kuipambanua mitaa inaonekana kabisa hakuna lolote unalojuaHata ukiangalia msalato ile, mpunguzi,veyula , barabara ya kuelekea hombolo ,tena kiangazi hiki unaweza kusema upo jangwa la Kalahari
Miti inapandwa kila sehemuAisee wakati wanaendelea kujenga hayo mavitu yao wasisahau kupanda miti
Yaani udongo wa dom kama wa sahara desert
Unapambana sana kuichafua Kanda ya ziwa lakin ishakuwa level nyingineAlaaa,pole Sana kwa hiyo hii ni Serikali inajenga sio? [emoji116]
Huyu jamaa ana akili za kimaskini kazi kuona wivu kwa maendeleo ya kanda ya ziwaOpportunity cost kwenye ubora wake, nahisi wakazi wa jiji la Mwanza walishawahi kukufanya kitu mbaya, hater namba moja wa Mwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Huyo mtu wa njombe huwa ana vituko sana😂😂Huyu jamaa ana akili za kimaskini kazi kuona wivu kwa maendeleo ya kanda ya ziwa
Nilianza kumshangaa et analinganisha kahama na njombe [emoji23][emoji23], mara akahamia sumbawanga mara alinganishe mwanza na arusha yaani anatapatapa haeleweki [emoji1787][emoji1787]Huyo mtu wa njombe huwa ana vituko sana[emoji23][emoji23]
Anzisha uzi wako leo kati ya Mwanza na Namtumbo atakuja kuipambania namtumbo kama anaijua nakusema ni bora kuliko Mwanza huwa haiwishi vituko, kila akiona mwanza lazima aje aipondee🤣🤣Nilianza kumshangaa et analinganisha kahama na njombe [emoji23][emoji23], mara akahamia sumbawanga mara alinganishe mwanza na arusha yaani anatapatapa haeleweki [emoji1787][emoji1787]
Eti chumvi,,.mkonze ni km 5 toka mjini unasema ni nje ya mji ,,mbwanga ni km 7 toka mjini ,.. Mwatano ni km 6 kupitia maili mbili ....hapo nje ya mji kivipi ...unavyosema mtandao wa lami ,sijakataa kwamba Dodoma kwa baadae itakuwa na mtandao mkubwa wa lami kuliko miji yote .ila kwa sasa .bado wako down ...na mji bado ni vumbi tupu..wewe umeajiriwa na serikali unakaa kwenye nyumba za NHC medeli .. huwezi jua adha waliyo nayo watu wa swaswa,. nkuhungu nchama, gwasa , ihumwa,nk....Hiyo mitaa yote unayoitaja haina hata miaka miaka miwili tokea ipimwe kuwa viwanja vya kawaida tena belive me hayo maeneo unayoyataja kuna baadhi ya watu wamezaliwa dodoma hawayajui wala hawajawahi kufika..huko ni nje ya mji kabisa
Pia nikusahihishe kwaakili zangu timamu siwezi kuishindanisha dodoma na mwanza. Mwanza ndio nyumbani kwetu kiasili Dodoma nipo kikazi
Nimekujibu kwasababu ya chumvi zako za kutisha unazungumza uongo km vile wewe pekee yako ndio unaijua dodoma
Sasa embu tukiitoa manispaa ya kinondoni niambie ni wapi panapazidi dodoma kwa mtandao wa barabara za lami?
Naona umeishiwa kabisa ,sasa endelea kutuma screenshot zile zileKiwanda cha Mbolea Dodoma [emoji116]
Hapa ni mji mwema , mbwanga km 6 toka mjini ...2021 ....Namna unavyoitaja na kuipambanua mitaa inaonekana kabisa hakuna lolote unalojua
Hapo mahali palipojengwa Udom unajua palikuaje na palionekanaje? Hiyo mitaa unayoitaja kuwa yenye afadhali ndio mitaa mikongwe ya dodoma hizo picha ulizotuma ni tofauti kbsa na uhalisia wa sasa pamoja kuwa ni pahala ambapo pamepimwa si chini ya miaka 3.. sasa nakuona huna unalolijua sababu unapasifia udom then unapaponda ihumwa wakati hujui udom palionekanaje miaka ya 2006
Nyumba za NHC hizAlaaa,pole Sana kwa hiyo hii ni Serikali inajenga sio? [emoji116]
Town mpaka mkonze ni km 15, hapo umetudanganya mkuuEti chumvi,,.mkonze ni km 5 toka mjini unasema ni nje ya mji ,,mbwanga ni km 7 toka mjini ,.. Mwatano ni km 6 kupitia maili mbili ....hapo nje ya mji kivipi ...unavyosema mtandao wa lami ,sijakataa kwamba Dodoma kwa baadae itakuwa na mtandao mkubwa wa lami kuliko miji yote .ila kwa sasa .bado wako down ...na mji bado ni vumbi tupu..wewe umeajiriwa na serikali unakaa kwenye nyumba za NHC medeli .. huwezi jua adha waliyo nayo watu wa swaswa,. nkuhungu nchama, gwasa , ihumwa,nk....
Mi siichukii Dodoma ,,maybe nikuambie ... Dodoma ni mji ambao nimekaa na mwezi wa nane nitakuwa huko ...Town mpaka mkonze ni km 15, hapo umetudanganya mkuu
Chama ipi haina lami?
Chan'gombe ipi haina lami??
Ukiwa unaongea vitu uliza uambiwe usipelekwe na hisia za chuki dodoma yenyewe huijui
kumeoza...Hapa ni mji mwema , mbwanga km 6 toka mjini ...2021 ....View attachment 2269997
Ni mji unaojengeka ila kwa sasa kulinganisha na mwanza bado, nimeishi dodoma napafahamu.Mi siichukii Dodoma ,,maybe nikuambie ... Dodoma ni mji ambao nimekaa na mwezi wa nane nitakuwa huko ...
Lami ya Chang'ombe inaishia hapo sokoni ,kuanzia huko kwingine ni vumbi tu , barabara ya kutoka gwasa hadi mji mwema hyo Chang'ombe kuna lami ...
Chama nkuhungu kuelekea mbwanga kuna lami gani ...maybe wasubiri ring road itakayojengwa kutokezea mbwanga _Miyuji_nanenane
all in all Dodoma ina mazuri yake na ina project nzuri tu but
Kulinganisha na Mwanza kwa sasa hv ni uonevu......
Maybe waongeze nguvu kwenye population growth ,..
Dodoma ni jangwa kabisa yaani Chadi duhPromo zinaendelea.
Dom kama Dom [emoji116]
Dodoma kama imepigwa bomu imechakaa na vumbi jangwa ukame jua kaliFikeni hapa kwanza ndio mje kushindana na Dodoma [emoji116]