Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Moro hii hii ambayo kimiundombinu na majengo inapitwa na Udom.. moro vs manyoni itafaa

Moro hii hii ambayo kimiundombinu na majengo inapitwa na Udom.. moro vs manyoni itafaa sana
Moro nyingine dogo mahoteli ya morogoro yaliyo enda angani hawezi fananisha na vibanda umiza vya hapo dodoma

Udom naifananisha na kota za waarabu hapa moro
 
Dodoma itajengeka sana sababu ya serikali ila muda ukifika itabaki kama zamani.

Mwanza itaendelea sababu ya biashara
 
Maskiniiiii mleta uzi,Wasukuma wamemchukulia demu,sasa yeye kaja kushushia hasira JF
 
Mwanza jitahidini kufika hapa kwanza ndio mje kuongea 👇
 

Attachments

  • infinity_real_estate_dodoma_1656157430989167.jpg
    110.2 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220616-001153_1.jpg
    57 KB · Views: 13
  • HAKUNA-UPINZANI-01-1.jpg
    94.7 KB · Views: 12
  • dc8a648aa2c54438793901400b59ab44.jpeg
    55 KB · Views: 14
Ungenambia Dodoma inakuja kwa kasi ningesema sawa kuanzia kule Mkonze uannze kurudi town huku njoo hadi Nkuhungu hapo sawa ila kwa sasa Dodoma ifananishe na Mbeya wanaweza match kwa Mwanza bado sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…