The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Dom baaab kubwa πUngenambia Dodoma inakuja kwa kasi ningesema sawa kuanzia kule Mkonze uannze kurudi town huku njoo hadi Nkuhungu hapo sawa ila kwa sasa Dodoma ifananishe na Mbeya wanaweza match kwa Mwanza bado sana
Ona mambo makubwa yanayofanyika huko jangwani πJangwa hatari...dodoma ilipaswa iwe somalia.
#MaendeleoHayanaChama
Serikali haiwezi kukubali huu ujinga,Makao Makuu ya Taasisi zote za Serikali ni Dom.Habari kama hizi sunk cost zinamuumaView attachment 2276203
Ndo hiki ulikuwa unakisemea jana ,,,una NONDO za Dodoma [emoji1782][emoji74][emoji75][emoji75]Ona mambo makubwa yanayofanyika huko jangwani [emoji116]
Only in Dodoma πNdo hiki ulikuwa unakisemea jana ,,,una NONDO za Dodoma [emoji1782][emoji74][emoji75][emoji75]
Kipi kipya hapaOnly in Dodoma [emoji116]
Kipya ni kwamba Kiwanda kimeanza uzalishaji wa Mbolea mwezi wa 7.Kipi kipya hapa
Yaani unavyopost ,ushaga vipost nyuma huko. Yaani kujitapa kote huko jana unatuletea utopolo leo... kiufupi Dodoma hamna jipyaKipya ni kwamba Kiwanda kimeanza uzalishaji wa Mbolea mwezi wa 7.
Hii project imetaja Mwanza ,.mbona huongezei .Nala Industrial park is loading [emoji116]
Huko mtapata kakiwanda kamojaHii project imetaja Mwanza ,.mbona huongezei .
π¬π¬π¬ Pale unapojitahidi kuonesha furaha kwenye uzuni .Yaani unavyopost ,ushaga vipost nyuma huko. Yaani kujitapa kote huko jana unatuletea utopolo leo... kiufupi Dodoma hamna jipya
Project zile zile maskini dah[emoji51][emoji51][emoji51] Pale unapojitahidi kuonesha furaha kwenye uzuni .
Dodoma hamna jipya [emoji116]
Project zile zile ππ..Project zile zile maskini dah
Wasukuma watabisha ππ.In few years to come Dodoma will outshine Mwanza But for now Mwanza is ahead of Dodoma in all aspects
In which aspect ...In few years to come Dodoma will outshine Mwanza But for now Mwanza is ahead of Dodoma in all aspects