The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
πππππππIn which aspect ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππIn which aspect ...
Kwamba mwanza itakuwa imelala ..Wasukuma watabisha [emoji16][emoji16].
As we speak Dodoma inaizidi Mwanza kwenye makusanyo ya TRA na Makusanyo ya Halmashauri.
Kwani walivyowazidi makusanyo ya TRA na Halmashauri mlikuwa mumelala?Kwamba mwanza itakuwa imelala ..
Mashirika makubwa na makampuni wanaotazama potential kwa ajili ya biashara zao .... Yanasema hivi wewe kimbulu wa hapo ludewa unaropoka ropoka tuKwani walivyowazidi makusanyo ya TRA na Halmashauri mlikuwa mumelala?
Mtapigwa Nje ndani na Second City after Dar ni Dom hilo halina mjadala..[emoji116]
Ndo unavyojidanga na hizo swaga za mashirika ya ndege sio? π¬π¬.Mashirika makubwa na makampuni wanaotazama potential kwa ajili ya biashara zao .... Yanasema hivi wewe kimbulu wa hapo ludewa unaropoka ropoka tu
View attachment 2302247
Hahahaaaa kweli wewe mshamba mkuu. Yaani hiyo lugha ya biashara ndo imekuchanganya?Unajua maana booming bussiness hub....sasa kuwa makini ...mwanza sio Mbeya ....View attachment 2302259
Kati yangu mimi na wewe nani mshamba ...mtu anayejifanya anajua kumbe hajui ndo mshamba...mwanza ni bussiness hub ya ukanda wa maziwa makuu .. unapoambiwa booming bussiness hub ,ni eneo linakua kwa kasi katika kuunganisha biashara baina ya Sehemu tofauti tofauti ...ndio maana mwanza ndio mji unaofanya route nyingi za ndege nje dar kwa safari za ndani ....Hahahaaaa kweli wewe mshamba mkuu. Yaani hiyo lugha ya biashara ndo imekuchanganya?
Kwa lugha hiyo ya biashara tuseme Mwanza inaipiki Dsm kwa masuala ya kibiashara?
Kwenye masuala ya kibiashara hata Tabora inaweza kupambwa hadi ukatamani kwenda kumbe hakuna lolote.
Yani we jamaa Kuna muda unakuwaga kama mjinga hivi! Yani akili yako inakutuma kwamba biashara inafanyika zaidi dodoma kuliko Mwanza? Kuwa na akiliWasukuma watabisha [emoji16][emoji16].
As we speak Dodoma inaizidi Mwanza kwenye makusanyo ya TRA na Makusanyo ya Halmashauri.
Sasa hapo ndio umeandika nini? Mapovu ya upumbavu..Yani we jamaa Kuna muda unakuwaga kama mjinga hivi! Yani akili yako inakutuma kwamba biashara inafanyika zaidi dodoma kuliko Mwanza? Kuwa na akili
Kwa taarifa yako fupi tu Hadi 2024 Mwanza itakuwa;
Jengo jipya la airport
Stand mpya mbili kuuubwa Tanzania nzima hakuna
Soko kuu jipya kabisa Tanzania nzima halipo
Daraja refu zaidi kuliko yote afrika mashariki
Meli kubwa kuliko zoote Africa mashariki
Miradi miwili ya maji mikubwa kabisa
Tunachosubiri ni barabara tu, tukimaliza barabara hata dar ijiangalie[emoji16]
Niletee takwimu za tra. Ili ujionee ulivyo unafeliSasa hapo ndio umeandika nini? Mapovu ya upumbavu..
Hatuandikii mate bali wino na namba ndio zinasema biashara inafanyika zaidi Dom kuliko Mwanza ndio maana Dom ina mapato makubwa ya Halmashauri kuliko Mwanza na ndio maana TRA inakusanya mapato mengi Dom kuliko Mwanza..
Mahaba peleka kwa Mkeo.
Mara nyingi nimeweka humu siwezi kurudia tena.Niletee takwimu za tra. Ili ujionee ulivyo unafeli
Ko takwimu za halmashauri ndo TRA si ndiyo?Mara nyingi nimeweka humu siwezi kurudia tena.
Takwimu hizi hapa πKo takwimu za halmashauri ndo TRA si ndiyo?
We jamaa ni mjinga sana . takwimu zinakukataa sasa..Takwimu hizi hapa [emoji116]
Ilivyokuwa unasema tra wametuzidi ,,,kiaje sasaWe jamaa ni mjinga sana . takwimu zinakukataa sasa..
Dodoma namba 12 na Mwanza namba 22 ....gape kubwa tu Dodoma imepigwaView attachment 2302388View attachment 2302389
Wewe ndio mjinga naomba tofauti ya 182-76. Na 190 -180 harafu hiyo difference ndio ongeza kwenye jibu utapata Tax collections za mwaka 2021.We jamaa ni mjinga sana . takwimu zinakukataa sasa..
Dodoma namba 12 na Mwanza namba 22 ....gape kubwa tu Dodoma imepigwaView attachment 2302388View attachment 2302389
Nimeshakujibu,vyanzo vyangu vya ndani huko TRA ni mumepigwa gap ila bado tuu kuweka update kwenye website..Ilivyokuwa unasema tra wametuzidi ,,,kiaje sasa
Unaleta assumptionWewe ndio mjinga naomba tofauti ya 182-76. Na 190 -180 harafu hiyo difference ndio ongeza kwenye jibu utapata Tax collections za mwaka 2021.