Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Dodoma mji wa kifala yaani hauna mzuka kabisa kigorofa kadhaa pale town eti ni jijikutoka mwanza mjini had kisesa ni km 20 lakin angalia watu wanavyojenga majumba sasa Dodoma km 20 si ni mapolini kabisa na kutoka Dodoma mjini had nala mizani ni km 10 lakin kutoka mwanza mjini had nyegezi stand ni km 10 watu wa Dodoma mmeuona huo utofauti?nala ni vijijin na nyegezi panaonekana ni mjini
Wakazi wengi wanatakiwa kuwa wangapi? ππ..Ina strectch vipi wakati haina wakazi wengi kama Mwanza? Au ina strect mapori?
ππHuu ni wivu,kuna Mwanza tofauti na hii hapa? πDodoma mji wa kifala yaani hauna mzuka kabisa kigorofa kadhaa pale town eti ni jiji
Huyu ndio alituambia 5 star ya Mbeya yaaniWakazi wengi wanatakiwa kuwa wangapi? ππ..
Baada ya Dar kituo kinachofuata cha BRT ni Dom nyie wengi endeleeni kukua kwenye hizi tembe zenu π
Sibishani na washamba unanijua !!ππHuu ni wivu,kuna Mwanza tofauti na hii hapa? π
Ndio hiyo hiyo mkuu ila haiondoi ukweli kwamba Mwanza ni Jiji la hovyo sana hapa Tanzania..Huyu ndio alituambia 5 star ya Mbeya yaaniView attachment 2350013
Maskini hajawahi fika hata dodoma ..unaisoma kwenye magazeti...dodoma ni mji mdogo sana ..Nkonze ni pori la wapi? Wivu [emoji1787][emoji1787]
Dom ime stretch pande nne mbona zote huzileti?
Ndio maana ya kujenga ile Ring Road manake eneo lote hilo ni Jiji harafu wewe unaongea pumba
BRT ni huduma haipelekwi kwa sababu ni Dodoma bali mahitaji ndio uhamua. Serikali makini haiwezi peleka BRT Njombe wakati hamfiki hata laki moja. Kuhusu BRT Mwanza mpaka feasibility study tayari chini ya UN Habitat miaka mingi imepita ndio inakuja kuongelewa Dodoma. https://unhabitat.org/calls/call-fo...eration-partners-for-agreement-of-cooperation Tafuta taarifa wacha upimbiWakazi wengi wanatakiwa kuwa wangapi? ππ..
Baada ya Dar kituo kinachofuata cha BRT ni Dom nyie wengi endeleeni kukua kwenye hizi tembe zenu π
Ukweli huwa unauma ππππ.Sibishani na washamba unanijua !!
Kwa nini hiyo huduma isianzie Mwanza kwani hakuna mahitaji? ππBRT ni huduma haipelekwi kwa sababu ni Dodoma bali mahitaji ndio uhamua. Serikali makini haiwezi peleka BRT Njombe wakati hamfiki hata laki moja. Kuhusu BRT Mwanza mpaka feasibility study tayari chini ya UN Habitat miaka mingi imepita ndio inakuja kuongelewa Dodoma. https://unhabitat.org/calls/call-fo...eration-partners-for-agreement-of-cooperation Tafuta taarifa wacha upimbi
We ruka ruka tu kama maharage ya kakonko ...hapa lazima uive[emoji38][emoji38]Huu ni wivu,kuna Mwanza tofauti na hii hapa? [emoji116]
Dodoma imeanza? Bora hata Mwanza feasibility study tayari tunasubiria financerKwa nini hiyo huduma isianzie Mwanza kwani hakuna mahitaji? ππ
Huyu kila anapokwenda tunaruka naye, tunapiga kichwa kama tunauwa nyoka mpaka atuletee na 5 star Hotel ya DODOMA π π π πWe ruka ruka tu kama maharage ya kakonko ...hapa lazima uive
Next year inaanza Dom,master plan iko zamani sana Mzee ,Dom hakuna cha feasibility kila kitu Kiko tayari kwenye michoro..Dodoma imeanza? Bora hata Mwanza feasibility study tayari tunasubiria financer
Mwanza Kwa Dom mtasubiri saaana..We ruka ruka tu kama maharage ya kakonko ...hapa lazima uive
Fedha hazitoki Njombe BossNext year inaanza Dom,master plan iko zamani sana Mzee ,Dom hakuna cha feasibility kila kitu Kiko tayari kwenye michoro..
Kamati ya Bunge ndio imesema waanze Dom faster plus light rail system..
Hiyo BRT ya kwenye makaratasi na kwenye Mawe na milima ya huko Mwanza nani atafanya kwa cost kubwa kiasi hich
Unaumwa eti iringa!πππUkweli huwa unauma ππππ.
Ukipata Mwanza tofauti na hiyo hapo unitag,tugorofa twa kutafutiza ππ..
Iringa ina majengo mengi marefu kuliko Mwanza π€£π€£
Nasema hivi Iringa ina majengo marefu na mengi kwa Idadi kuliko Mwanza,sasa unabisha au?Unaumwa eti iringa!πππ
Unaumwa wewe sio bure wacha kufananisha mwanza na upumbavu hakuna kama mwanza baada ya Dar.Nasema hivi Iringa ina majengo marefu na mengi kwa Idadi kuliko Mwanza,sasa unabisha au?
Hapo Mwanza hata majengo 8 ya ghorofa 8 and above hakuna.
Hapa hakuna mtu, ni chizi mwenye bundle la chuo ghorofa nane nizakuulizia Mwanza? π π π π πNasema hivi Iringa ina majengo marefu na mengi kwa Idadi kuliko Mwanza,sasa unabisha au?
Hapo Mwanza hata majengo 8 ya ghorofa 8 and above hakuna.