The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kama Mwanza hakuna kota ujue hicho ni kijiji cha wavuvi disorganized huge village.Tembea uone, wacha kujifungia Njombe.
Mwanza tumehama kwenye lota, nyingine zilivunjwa tukashusha MallKama Mwanza hakuna kota ujue hicho ni kijiji cha wavuvi disorganized huge village.
We jamaa ni chizi...jiji linatakiwa liwe na flats [emoji116][emoji116]Sio vikota vyakkoKama Mwanza hakuna kota ujue hicho ni kijiji cha wavuvi disorganized huge village.
Atakwambia hapo ni UayaWe jamaa ni chizi...jiji linatakiwa liwe na flats [emoji116][emoji116]Sio vikota vyakko View attachment 2353690
Dodoma na Mwanza wapi kuna Flats? Pole Sana.We jamaa ni chizi...jiji linatakiwa liwe na flats [emoji116][emoji116]Sio vikota vyakko View attachment 2353690
Miji mikubwa Tanzania ni Dar na Dom ndio maana hao NHC watajenga Dar na Dom ππππWacha Dodoma wajengewe huo uchafu, sasa hivi NHC wanakuja na plan ya kushusha vitu kama hivi kwenye miji mikubwa kupunguza miji kusambaa na kuokoa aridhi, halafu anakuja mtu asiyejielewa anasifia vijumba vya ovyo ovyo kisa vinafanana mabati
View attachment 2353705
[emoji28][emoji28]flats ,unajua hata maana ya flats basDodoma na Mwanza wapi kuna Flats? Pole Sana.
Soma hiyooπI've been in Dodoma kufanya survey, ni mapema sana kulinganisha Dodoma na mwanza
Dodoma ni jiji la mwisho kwa maendelo Tanzania, ila ni la Kati ya majiji 3 yenye fursa za muda mrefu na wakati.
Ili Dodoma iendelee inahitaji political will ya Serikali.
Kwa mujibu wa wasiojielewa sio serikaliMiji mikubwa Tanzania ni Dar na Dom ndio maana hao NHC watajenga Dar na Dom ππππ
Acha wivu,kwanza umeandika nini hapo? ππKwa mujibu wa wasiojielewa sio serikali
KisichoelewekaAcha wivu,kwanza umeandika nini hapo? ππ
Yaani niteseke na vinyesi vya wanawake ziwani?[emoji1][emoji1] nyie jamaaa mnateseka bure
Nitajie hata mtaa mmoja ambao upo ziwani ukiupata nafuta account yangu ya JF
You tube inatambua Kwamba Ligi ni Dodoma vs Nairobi sio hizo takataka zinaitwa Mwanza ππππ.Kisichoeleweka
Dom size yake ni Nairobi.
Hivi ukiondoa cy kwenye Fallacy inabaki Falla yaani hil0 jamaa ni fala sana ata msipoteze Muda kubishana nalo, yeye anaona jiji kuwa na vijumba ni fahari wakati Miji mikubwa inatakiwa ijengwe Apartments kupunguza matuzi ya ardhi
mbona hizo nyumba zipo porini?We jamaa, ulimbukeni utaacha lini??? Karne hii unshangaa quarters! π π π π π View attachment 2353668