Ukifika hayo maeneo vilipojengwa Hadi unaionea huruma serikali kama itapata wanunuzi ..ni kubaya af kumekauka balaa na ni mbali na mji ..yaani picha zinapendezesha sana ,fika live uzimie....Moja ya miradi iliyokaa kihasara labda wawauzie wastaafu lakin mtu mwenye hela hawezi nunua kotas kama hizo
We jamaa shamba eti .YouTube si mtu kama weww tu anaweza kupost ..unatia aibu rafik anguYou tube inatambua Kwamba Ligi ni Dodoma vs Nairobi sio hizo takataka zinaitwa Mwanza [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Size ya Dom ni Nairobi [emoji116]
Mgeni rasm ..mpangoMambo ni yente[emoji95][emoji91][emoji91][emoji116]View attachment 2353856View attachment 2353857
Jangwanii
Mwanza ni natural growth kule hakuhitaji kupigwa jeck na serikali .....kule wananchi wanajijengea mji wao....Hizo nyumba wajenge tu huko....Mwanza miaka yote inajipambania yenyeweEti Mwalo wa Mwanza unataka kujitutumua kwa Dom..
Mradi wa Ujenzi wa nyumba 5,000 Nchi Samia Housing Scheme ya NHC iko kama ifuatavyo,
Dar 50% ,Dom 20% na Mwanza iko kwenye mengineyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
Kabisaaa...Mwanza haina shobo....na wala haibembelezi..hiyo misaada wapeleke Dodoma na Lindi.....Self driven city..
Low government supported investment View attachment 2353897View attachment 2353899
ππ Blaa blaa natural growth ππMwanza ni natural growth kule hakuhitaji kupigwa jeck na serikali .....kule wananchi wanajijengea mji wao....Hizo nyumba wajenge tu huko....Mwanza miaka yote inajipambania yenyewe
Yaani tuvioo tumekuchanganya tayari umetoka kwenye reli ππDodoma mpo?
View attachment 2354706
[emoji16][emoji16][emoji16]km 14 tayari nimeshafika kwenye mibuyu huku mbele ya Nala natafuta vijiji vya wilaya ya bahi ,,au Niko mtumba barabara ya Moro ,,au nipo huku porini kwenye njia panda ya kuelekea bihawana . iringa roadHivi Dodoma kuna sehemu ya km 14 kutoka mjini iliyochangamka kama buhongwa,igoma na kisesa?
Wewe acha ujuha,Dom ina nuclear settlement pattern tofauti na Mwanza ambayo iko linear kufuata barabara huku sehemu kubwa ikiwa imezuiwa na maji na mamilima hapo..Hivi Dodoma kuna sehemu ya km 14 kutoka mjini iliyochangamka kama buhongwa,igoma na kisesa?
Weka kabisa makadirio yako Ili tupate base ya kuanza kukuzodoa.Nawakumbusha tu watu wa Dodoma zimebak week chache Raisi atangaze matokeo ya sensa mkiizidi ilemela tu kwa population naleft kwny group
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji12]piga aerial photography ya dodoma.tuone wapi ni nuclear wapi ni linearWewe acha ujuha,Dom ina nuclear settlement pattern tofauti na Mwanza ambayo iko linear kufuata barabara huku sehemu kubwa ikiwa imezuiwa na maji na mamilima hapo..
Mwanza yote ndio imeishia hapo,utazunguka wewe kama tairi ila utaishia hapa π[emoji16][emoji16][emoji16][emoji12]piga aerial photography ya dodoma.tuone wapi ni nuclear wapi ni linearView attachment 2354824
Kumbe unaelewa kazi.[emoji12][emoji12]bas na wew leta dodoma tuione kama inagusa hapoMwanza yote ndio imeishia hapo,utazunguka wewe kama tairi ila utaishia hapa [emoji116]