The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Moja ya capital city za ajabu na aibu Duniani ...they can't even copy Lilongwe au Bujumbura Burundi ... MWANZA sio size yenu mazee[emoji116]Wale jamaa wa kule mwaloni lazima watanuna..
Real estates Development in the Capital City Dodoma ,private Developers[emoji116]
Uswazi city 😆😆😆😆.Moja ya capital city za ajabu na aibu Duniani ...they can't even copy Lilongwe au Bujumbura Burundi ... MWANZA sio size yenu mazee[emoji116]
Hizi sio government funded estate..hiz private owned[emoji116]View attachment 2359029View attachment 2359030View attachment 2359031View attachment 2359032View attachment 2359033
[emoji16][emoji16][emoji14][emoji14] .. pointless remarks ... endelea kuwa balozi wa NHC na vijumba vyako vifupi vya ajabu ,,..na endelea kuwa sales official wa infinity utapata commission Soon .....kaa ukijua dodoma hasn't even a tiny quality to be renamed a capital city .Kwa estates za kizaman namna hyoUswazi city [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Hizo takataka have no match to the above attached photos
Aisee mnatia huruma Sana..Soko la ndugai kwa soko la mwanza mjini linaingia mara 3
Huo ni mradi wa maana 😄😄😄😄Aisee mnatia huruma Sana..
Mtakula Soko wakati Dodoma wanafanya miradi ya maana 👇
Block farming sio mradi wa maana? Ni sawa na soko? Akili hunaHuo ni mradi wa maana 😄😄😄😄
Hamuwez izid mwanza hata mnye mwanza inakua kwelikweli ni miongon mwa miji top 10 inayokua baran africaBlock farming sio mradi wa maana? Ni sawa na soko? Akili huna
Unaharisha upumbavu, uswazi ukikua unakusaidia nini wewe?Hamuwez izid mwanza hata mnye mwanza inakua kwelikweli ni miongon mwa miji top 10 inayokua baran africa
Mapato ya kitu gani bro ... halmashauri [emoji16][emoji12][emoji12],,Unaharisha upumbavu, uswazi ukikua unakusaidia nini wewe?
Mapato Dom bil.50 Mwanza bil.28 ,hapo anakua nani na kazidiwa nani? [emoji38][emoji38]
Mbona kwenye utajiri hamsogezi pua hata Kwa geita .uje usemee ushuru wa vyoo [emoji12][emoji12][emoji12]Unaharisha upumbavu, uswazi ukikua unakusaidia nini wewe?
Mapato Dom bil.50 Mwanza bil.28 ,hapo anakua nani na kazidiwa nani? [emoji38][emoji38]
Takwimu sahihi ni hz[emoji116]Unaharisha upumbavu, uswazi ukikua unakusaidia nini wewe?
Mapato Dom bil.50 Mwanza bil.28 ,hapo anakua nani na kazidiwa nani? [emoji38][emoji38]
Takwimu za 2020 Leo tuko 2022..Takwimu sahihi ni hz[emoji116]View attachment 2359071
Takwimu za 2020 Leo tuko 2022..
Huo mwaka wa 2020 Dom ilikuwa haijawapita kwenye Makusanyo ya TRA na Makusanyo ya Halmashauri ilikuwa haijapanua gap mara mbili kama ilivyo sasa..
Saizi mumebakia kujifariji kwa GDP wakati mnaishi uswahilini,sasa kwa taarifa yako by 2025 mtakuwa mumesagwa hata kwenye GDP..
Yaani unakuwa na limkoa Lina watu weeengi ila linachangia kiduchu kwenye Uchumi,zero brain kabisa..
Unfortunately GDP haionyeshi quality of life ndio sababu mnaogelea kwenye Kansa na umaskini huku mnajisufu kwa GDP 😁😁
Wewe una matatizo ya akili sio bure.Na sijui una umri gani kama ni zaidi ya 20yr basi unahitaji matibabu.Takwimu za 2020 Leo tuko 2022..
Huo mwaka wa 2020 Dom ilikuwa haijawapita kwenye Makusanyo ya TRA na Makusanyo ya Halmashauri ilikuwa haijapanua gap mara mbili kama ilivyo sasa..
Saizi mumebakia kujifariji kwa GDP wakati mnaishi uswahilini,sasa kwa taarifa yako by 2025 mtakuwa mumesagwa hata kwenye GDP..
Yaani unakuwa na limkoa Lina watu weeengi ila linachangia kiduchu kwenye Uchumi,zero brain kabisa..
Unfortunately GDP haionyeshi quality of life ndio sababu mnaogelea kwenye Kansa na umaskini huku mnajisufu kwa GDP 😁😁
Hicho kijamaa kimezoea kukaa vijiweni kubeti na kubishana kuhusu Mabasi.Wewe una matatizo ya akili sio bure.Na sijui una umri gani kama ni zaidi ya 20yr basi unahitaji matibabu.
Hivi toka lini Dodoma ikawa na quality life zaidi ya kuombaomba mabarabarani(matonya).Ndo maana serikali inatumie ela zetu kuwajengea vinyumba vya bei nafuu. Wakati matajiri wa Mwanza hawezi kuishi kwenye vijumba vya chini kama vichuguu.
Kwataarifa Mwanza haiwezi shuka nafasi yake ya pili kwa kelele za kinafiki labda ipigwe na bomu la nuclear tofauti na hapo sahau.
Kuwa giant city sio kazi ndogo kiasi hicho lazima watu wake wafanye hasa.
Tushakuambia uende shule ujifunze kwanza kabla ya kuja hapa .....Takwimu za 2020 Leo tuko 2022..
Huo mwaka wa 2020 Dom ilikuwa haijawapita kwenye Makusanyo ya TRA na Makusanyo ya Halmashauri ilikuwa haijapanua gap mara mbili kama ilivyo sasa..
Saizi mumebakia kujifariji kwa GDP wakati mnaishi uswahilini,sasa kwa taarifa yako by 2025 mtakuwa mumesagwa hata kwenye GDP..
Yaani unakuwa na limkoa Lina watu weeengi ila linachangia kiduchu kwenye Uchumi,zero brain kabisa..
Unfortunately GDP haionyeshi quality of life ndio sababu mnaogelea kwenye Kansa na umaskini huku mnajisufu kwa GDP [emoji16][emoji16]
Yawezakuwa aise eti Mwanza kanalinganisha na Mbeya, kweli?Hicho kijamaa kimezoea kukaa vijiweni kubeti na kubishana kuhusu Mabasi.
Ndio maana kinapenda kubishana kuliko kula. Kiko tayari kulinganisha mji wowote na Mwanza ilimradi ubishi tu.