The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mtu unashindia sangara walizoziweka kwenye maji ya barafu ya kuoshea maiti utakuwa na akili kweli wewe?The sunk cost fallacy wewe Huwa sikuelewi itakuwa wanamwanza wameshakutenda
Uzi ote umebaki mwenyew wenzio wamekimbia coz unaongea kwa mihemko bila fact. Hiyo Dodoma kuifananisha na Mwanza sio leo jengeni kwanza MiyujiMtu unashindia sangara walizoziweka kwenye maji ya barafu ya kuoshea maiti utakuwa na akili kweli wewe?
Mbaya zaidi mna shida ya Kansa,hapa tunapoongea unaweza Kuta umetoka hospital kutibiwa mtindio wa ubongo ππππ..
Ukipona ndio uje tuongee π
Huwa hawasemi mema kwa projects zetu. Labda pigeni na projects ambazo ziko proposed ili waone kuwa hata kesho wanayofikiria yatakuwa kigezo Chao kusema miji Yao itakuwa mizuri zaidi kuwa wanajidanganya. Nikihamia hapa nitavuruga acha niwe mtazamaji tu.
Mapato gn ww shoga wa kigogo hv unafikr Dom hakuna nyumba kama za mwanzaWewe ndio Mjinga,ni Tzn pekee ndio linaloitwa Jiji la pili Kwa ukubwa linaongoza kwa idadi ya maskini, barabara hakuna,full slums na Hilo Hilo Jiji la kipuuzi linazidiwa Mapato nya Jiji..
Sasa Hilo ni Jiji au upuuzi? Wakazi wake hawana vyoo wanakunya ziwani ππ
Huyu fala mvuta bangi tu analala stand na hajui anachobishia nia yake ni kutaka kuishusha mwanza sijui ana ujinga Gani kichwani mwake. Bichwa lake limekaa kumdanganya tu sasa anafikiri atatushawishi tukubali. Hili jamaa ni girl friend halina kitu hiliUzi ote umebaki mwenyew wenzio wamekimbia coz unaongea kwa mihemko bila fact. Hiyo Dodoma kuifananisha na Mwanza sio leo jengeni kwanza Miyuji
πππππMapato gn ww shoga wa kigogo hv unafikr Dom hakuna nyumba kama za mwanza
Siyo mgogo huyo acheni watano zetu huyu ni fala Wala si wa DodomaMapato gn ww shoga wa kigogo hv unafikr Dom hakuna nyumba kama za mwanza
Wapo na mimi siwezi kukimbia,Niko hapa kuwanyoosha...Uzi ote umebaki mwenyew wenzio wamekimbia coz unaongea kwa mihemko bila fact. Hiyo Dodoma kuifananisha na Mwanza sio leo jengeni kwanza Miyuji
Niambie hii Iko mtaa gani..ili nileft uzi ..hii picha sio ya dodoma [emoji16][emoji16][emoji16]Acha kelele zisizo na maana Wala ambazo hazitaweza kuisaidia Mwanza big slum..
Dom real estates [emoji116]
Figure speak louder than words [emoji16]Dom sio slum city kama Mwanza,elewa hilo every development is in order..
Dom inakaliwa na middle income sio maskini na washamba hao ndio huishi hovyo hovyo na sehemu yao ni Mwanza na Kahama.
Unaongea Kwa hisia tu .no fact'sWewe ndio Mjinga,ni Tzn pekee ndio linaloitwa Jiji la pili Kwa ukubwa linaongoza kwa idadi ya maskini, barabara hakuna,full slums na Hilo Hilo Jiji la kipuuzi linazidiwa Mapato nya Jiji..
Sasa Hilo ni Jiji au upuuzi? Wakazi wake hawana vyoo wanakunya ziwani [emoji16][emoji16]
Excuses ππππNiambie hii Iko mtaa gani..ili nileft uzi ..hii picha sio ya dodoma [emoji16][emoji16][emoji16]
Umebakiza nosense attack.no pointMtu unashindia sangara walizoziweka kwenye maji ya barafu ya kuoshea maiti utakuwa na akili kweli wewe?
Mbaya zaidi mna shida ya Kansa,hapa tunapoongea unaweza Kuta umetoka hospital kutibiwa mtindio wa ubongo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]..
Ukipona ndio uje tuongee [emoji116]
Jiji zima hakuna slums nyingine?Mwanza kunazidi kunoga π€£π€£π€£π€£
Half picha za zaman kweli..akapige bas mabatini now kama bado kuko vilevileJiji zima hakuna slums nyingine?
Naona kila siku ni hizo hizo tu.
π€£π€£π€£π€£π€£ Mwanza ila slums nyingi Sana..baadhi ni hizi hapaJiji zima hakuna slums nyingine?
Naona kila siku ni hizo hizo tu.
Hamna jiji kubwa lisilo na slums...sifa ya jiji ni kuwa na watu wa Hali zote .ndo maana dar, Nairobi,hata new York Kuna slum.ulivyo lishamba utakataa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwanza ila slums nyingi Sana..baadhi ni hizi hapa
Igogo,
Mabatini,
Kirumba,
Butimba,
Nilijua utalii wa slums hufanyika Kibera Nairobi kumbe hadi Mwanza [emoji12][emoji12][emoji12] Nimecheka hadi kichwa kimeuma [emoji116]
Hamna jiji kubwa lisilo na slums...sifa ya jiji ni kuwa na watu wa Hali zote .ndo maana dar, Nairobi,hata new York Kuna slum.ulivyo lishamba utakataa
Yaani hizo ni zile zimekithiri ila Mwanza yoote ni slums kasoro maeneo machache sana..Hamna jiji kubwa lisilo na slums...sifa ya jiji ni kuwa na watu wa Hali zote .ndo maana dar, Nairobi,hata new York Kuna slum.ulivyo lishamba utakataa
Huijui mwanza kaaa pembeniYaani hizo ni zile zimekithiri ila Mwanza yoote ni slums kasoro maeneo machache sana..