Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Huu uzi mimi ndio nitakuwa wa mwisho kutoka humu tuombe tu uzima lakini na wewe kamanda huwa nakukubali sana.
Pamoja sana mkuu. Tulikumiss bwana ulivyopigwa pin ,[emoji16][emoji16]
 
Kutwa anatuletea viproposals tu hazungumzi uhalisia wa dodoma ilivyo at the moment, mi naonaga huyu jamaa ni pwagu. Ukisoma unategemea kuajiriwa halafu usijekuajiriwa unakuwa mwehu professional.
 
Kutwa anatuletea viproposals tu hazungumzi uhalisia wa dodoma ilivyo at the moment, mi naonaga huyu jamaa ni pwagu. Ukisoma unategemea kuajiriwa halafu usijekuajiriwa unakuwa mwehu professional.
Jitahidi kunywa maji kupunguza uwezekano wa kujinyonga. 😆😆..

Asante Sana Uganda kuiheshimisha Dodoma kuikera hii nyumbu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221007-151409.png
    Screenshot_20221007-151409.png
    152.9 KB · Views: 18
Nashangaa Dodoma inasemewa na mtu wa Njombe, sisi wenyewe tunaoishi Dodoma ni mengi hatuyajui 😛😛😛😛
Wewe unaishi Dodoma wakati huo huo unaishi Arusha pia unaishi Mwanza na Kahama 😂😂😂😂.

Dodoma piga nyundo ya utosi Hawa dagaa wa lake Victoria 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221009-080949.png
    Screenshot_20221009-080949.png
    237.2 KB · Views: 15
  • Screenshot_20221009-080214.png
    Screenshot_20221009-080214.png
    172.4 KB · Views: 18
  • Screenshot_20221009-080145.png
    Screenshot_20221009-080145.png
    204.5 KB · Views: 16
si lile jamaa lenu la njombe 😂 😂 😂 😂
Naendelea kukukera kama ifuatavyo..

Dom City piga nyundo hao tumbili wa Saanane wakajifiche kwenye mapango ya kwenye mamilima yao yaliyojaa uswazi 😁😁😁😁..

Siku Kijiji cha Wavuvi Cha Mwanza kikifika hapa na left jf 👇
 

Attachments

  • FB_IMG_1665264482209.jpg
    FB_IMG_1665264482209.jpg
    75.1 KB · Views: 17
  • Screenshot_20221009-080131.png
    Screenshot_20221009-080131.png
    291.4 KB · Views: 19
Huu uzi mimi ndio nitakuwa wa mwisho kutoka humu tuombe tu uzima lakini na wewe kamanda huwa nakukubali sana.
Ntakunyoosha hadi usepe kwa aibu..

Jiji linatakiwa kufanania hivi Sio mauchafu mnayotuletea kutoka Mwanza👇
 

Attachments

  • 20221009_121209.jpg
    20221009_121209.jpg
    180 KB · Views: 12
  • 20221009_121231.jpg
    20221009_121231.jpg
    333.4 KB · Views: 14
  • 20221009_121202.jpg
    20221009_121202.jpg
    179.6 KB · Views: 14
  • 20221009_121308.jpg
    20221009_121308.jpg
    332 KB · Views: 16
Back
Top Bottom