Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
[emoji28][emoji28]mpka kieleweke yaaniHuu uzi mimi ndio nitakuwa wa mwisho kutoka humu tuombe tu uzima lakini na wewe kamanda huwa nakukubali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28]mpka kieleweke yaaniHuu uzi mimi ndio nitakuwa wa mwisho kutoka humu tuombe tu uzima lakini na wewe kamanda huwa nakukubali sana.
Pamoja sana mkuu. Tulikumiss bwana ulivyopigwa pin ,[emoji16][emoji16]Huu uzi mimi ndio nitakuwa wa mwisho kutoka humu tuombe tu uzima lakini na wewe kamanda huwa nakukubali sana.
Me adi the sunk cost fallacy anyooshe mkono juu ndio nitamaliza ligi.[emoji28][emoji28]mpka kieleweke yaani
si lile jamaa lenu la njombe 😂 😂 😂 😂Pamoja sana mkuu. Tulikumiss bwana ulivyopigwa pin ,[emoji16][emoji16]
Jitahidi kunywa maji kupunguza uwezekano wa kujinyonga. 😆😆..Kutwa anatuletea viproposals tu hazungumzi uhalisia wa dodoma ilivyo at the moment, mi naonaga huyu jamaa ni pwagu. Ukisoma unategemea kuajiriwa halafu usijekuajiriwa unakuwa mwehu professional.
Wewe unaishi Dodoma wakati huo huo unaishi Arusha pia unaishi Mwanza na Kahama 😂😂😂😂.Nashangaa Dodoma inasemewa na mtu wa Njombe, sisi wenyewe tunaoishi Dodoma ni mengi hatuyajui 😛😛😛😛
Cha maana ni nin hapaWewe unaishi Dodoma wakati huo huo unaishi Arusha pia unaishi Mwanza na Kahama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Dodoma piga nyundo ya utosi Hawa dagaa wa lake Victoria [emoji116]
Naendelea kukukera kama ifuatavyo..si lile jamaa lenu la njombe 😂 😂 😂 😂
😁😁😁😁 Tayari nimepiga kwenye mshono 💪💪..
Ntakunyoosha hadi usepe kwa aibu..Huu uzi mimi ndio nitakuwa wa mwisho kutoka humu tuombe tu uzima lakini na wewe kamanda huwa nakukubali sana.
Bwana kitombi kua realistic tu,huo mkebe wa Mwanza unann cha kutisha?Uzuri wake ni nini? Tufanye comparison, kimwonekano stendi yenu ya dodoma imekaa kama msalaba jengo kubwa lisilokuwa na mvuto ata kidogo, kuna nini cha kuvutia hapo?
Nikuongezee na hiiBwana kitombi kua realistic tu,huo mkebe wa Mwanza unann cha kutisha?
Angejua ule mkebe anao uponda ni expensive kuliko huu wa pili [emoji13][emoji13][emoji13]
Hii ikienda Dodoma ni cbd yao yoteUkiwa unatokea geita, sengerema ndani ya ferry..utakutana na view safi kama hii[emoji116][emoji116][emoji116]u feel kuingia jijini kweli .....View attachment 2375265
Mkebe wa mwanza umejaa dhahabu lakini mkebe wa dodoma umejaa tunguri na ulozi tu.Bwana kitombi kua realistic tu,huo mkebe wa Mwanza unann cha kutisha?
Hakuna mtu anayetaka ugonjwa wa macho na mafua🤣🤣🤣.Hivi umuhimu wa makao makuu ni upiView attachment 2383014