Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hii ni mwanza, Leta picha Kama hii hapo dodoma tuone, View attachment 2080478
Sasa hapo kuna nini? Hii hapa

2963613_thumb_2392_800x420_0_0_auto.jpg
 
Acha uongo wakulinganisha manispaa na jiji na mwishowe unajidumaza kwa kukosa exposure tafuta nauli ufike Dom kwanza afu uje ufute comment yako
dodoma amna kitu wewe mbona unaifagilia sana? kwa mtu mwenye akili timamu kabisa hawezi ifananisha dodoma na mwanza...dodoma uchafu kabisa huo
 
Kwani uongo mkuu?? Kuanzia miundombinu mpaka majengo moro imepitwa na Udom
moro imepitwa na dodoma kweli lakin usifananishe huo uchafu na mwanza .......ukifananisha mwanza na dodoma ni kuikosea heshima sana mwanza.... sababu mwanza ni jiji la pili tanzania hapa
 
NI jiji la pesa na matajiri kwa Sasa,so hao lazma wawepo si wanaona wakiingia mtaani wanazikusanya za kutosha!!,ukifika Nairobi au machakosi ombaomba wapo pia kibao,halafu omba omba wa Nairobi ni watata balaa,wanaombaga kwa ubabe utazani zao!! Ukimpa salafu anakuchek na hadhi yako anaweza kukutusi kabisa!!
kwa iyo omba omba ni ishara ya pesa kuwa nyingi sio umaskini na tabia ya kutokupenda kufanya kazi kweli wagogo mna tabu
 
Kwhy mji ukijaa omba omba ndio hauna hadhi ya kuwa jiji?? Nitajie Airport Tanzania ambayo hamna boda boda..kimsingi hauna hoja ya maana zaidi ya kuonyesha chuki za wazi tu..
uyo ana chuki sawa ....ila wewe usie na chuki kwa mtazamo wako unaona dodoma inaweza ikaizidi Mwanza? sababu majini ya kweli hapa bongo ni matatu Dar, Mwanza, Arusha ayo mengine ni siasa tu sababu ukiiangalia vzr dodoma hata haina hadhi ya kuwa jiji lakin bado uyo ndugu yako anataka ety aifananishe na mwanza sasa si ni kuivunjia heshima mwanza
 
uyo ana chuki sawa ....ila wewe usie na chuki kwa mtazamo wako unaona dodoma inaweza ikaizidi Mwanza? sababu majini ya kweli hapa bongo ni matatu Dar, Mwanza, Arusha ayo mengine ni siasa tu sababu ukiiangalia vzr dodoma hata haina hadhi ya kuwa jiji lakin bado uyo ndugu yako anataka ety aifananishe na mwanza sasa si ni kuivunjia heshima mwanza
Toa Mwanza na Arusha,weka Dar na Mwanza.

Mwanza kuna nini cha kuizidi Dom? Hata uunganishe vimapato vyenu hamuwezi kuifikia Dodoma.Soon Chamwino inakua manispaa.

Mapato haya hapa👇

Screenshot_20210819-135139.png


Screenshot_20210819-135201.png
 
inavyoonekana ndio ntolee manake wameutanua kabisa ile ranway
Ujenzi wa.uwanja mkubwa will take some years sasa Jiji linakua so lazima uimarishe existing Airport kwanza wakati unasubiria kukamilika kwa uwanja mkubwa.

Hakuna cha nitolee nenda site kule msalato utakuta Kazi zinaendelea kwa Kasi sana.
 
uyo ana chuki sawa ....ila wewe usie na chuki kwa mtazamo wako unaona dodoma inaweza ikaizidi Mwanza? sababu majini ya kweli hapa bongo ni matatu Dar, Mwanza, Arusha ayo mengine ni siasa tu sababu ukiiangalia vzr dodoma hata haina hadhi ya kuwa jiji lakin bado uyo ndugu yako anataka ety aifananishe na mwanza sasa si ni kuivunjia heshima mwanza
Kwahy wewe kwaakili yako umeona hayo ndio majiji miongoni mwa majiji??
 
Siku zote mtoto uamini mama yake pekee ndo fundi wa mapishi mpaka pale anapokuwa ndo ugundua kumbe kuna wanawake wako vizuri jikoni maza akasome, nikuulize ushawahi kanyaga DOM CBD au unabisha kulingana na ulivyoiaminisha akili yako.
we jamaa akili yako ndogo sana ......uwe unabisha kwa hoja basi maana unaambiwa mwanza ndio jiji la pili baada ya Dar lakini bado una komaa tu na dodoma yako iyo na hata kiserikali inafahamika iyo kitu we utafananishaje dodoma na mwanza? na watu huo mji tunaujia na mwanza tunaijua pia....hv huoni hata aibu kuifananisha mwanza na dodoma? huo mji ulitakiwa uufananishe na mbeya
 
Back
Top Bottom