Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Mwanza
JamiiForums1095094101.jpg
 
Hata ile stand ya Dom ni kubwa kuliko ya Magufuli ya Dar sema wameniudhi kwenye parking za magari ikijaa inatakiwa kurudi rivasi ndio iondoke,pale dizaini ilokosema ilitakiwa iende mbele ila ni stand nzuri Sana.

Afu watu wanajua kwamba Dom kinajengwa duala carriage za kuzidi,kuanzia ring road za Tanroads,hadi za Tarura kule mtumba na mjini Kati?
we jamaa kweli umesafir au unaongea tu...hv kweli hii stand mpya ya dodoma utasema stand ya maana? dah kweli nyie wagogo mna mambo kastendi kadogo, kamebanana au umedanganyika na kale kaloshen ndio unaona kama stand ya maana? dodoma bado bhana
 
Kilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza [emoji32]

Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.

Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.

Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.

Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Jamaa anafurahisha sana kwakweli dah [emoji3]
 
[emoji38][emoji38] tatizo haujaelewa ni nini namaanisha...?? mwanza watu wengi hasa wageni wanajua maeneo yaliyo jirani na barabara kuu ambayo kiuhalisia naweza sema ni asilimia 20 tu wengi wanaijua buhongwa kwa kuiangalia kutoka barabarani kisha wanafuata lami hadi mjini kati wanakula kona nata hadi kisesa au wanaanzia mji kati hadi ilemela kanisani kisha wanakuja kutengeneza Uzi hapa

Mtu anasema dodoma imepanuka sijui hadi wapi.. ninauhakika mleta uzi buhongwa tu au mkolani hazijui hata kwa 10% japo n maeneo yaliyo kando ya barabara kuu
Nini Buhongwa, Nyasaka tu yenyewe atakuwa anapita na lami yuuuule buzuruga [emoji3]
 
mwenda zake hayupo wewe kwaiyo serikali yote inarudi dar sasa kwa taarifa yenu na dodoma itarudi kama zaman
 
Kuondoa utata kwa kuzingatia nature ya miji yote miwili tuanze na above kumi mpaka 16 naamini hamna jengo refu zaidi ya flow hizo kwa miji yote miwili.
mwanza ipo losheni 17....utawasimulia wagogo wenzio ...hio ndio mwanza
Screenshot_20220114-130336_Facebook.jpg
 
we jamaa kweli umesafir au unaongea tu...hv kweli hii stand mpya ya dodoma utasema stand ya maana? dah kweli nyie wagogo mna mambo kastendi kadogo, kamebanana au umedanganyika na kale kaloshen ndio unaona kama stand ya maana? dodoma bado bhana
Tuwekee ya maana wewe uliyesafiri 🙄🙄
 
Unaweza kuwa jitu zima lakini litoto vilevile, kinachofanya uwe mtu mzima siyo umri tu bali pia unavyojitofautisha kwa kufikiri na kutenda. Sasa badala ulete hoja ya kuitetea Mwanza unavyoikubali tukuelewe umesharukia yasiyohusiana na mada jadiliwa.
Wewe tukana, kasirika, jitupe kwenye mavumbi lakini wewe ni litoto litoto la hivyo ktk malezi na lisilojua Tanzania hii ikoje, na halijatembea mahala mahala kiutafutaji
 
Sizitaki mbichi hizi,ulitaka uletewe majengo gani? Hayo majengo yamejengwa Mwanza au? [emoji3][emoji3][emoji3]
Hebu tupunguze kazi, mkuu hivi wewe unaona no kitu gani Dodoma inaipiku Mwanza halafu uanze kuleta kimoja kimoja kikiwa na ushahidi wa picha au takwimu then ukimaliza na mwanza tulete hivyo vitu then tufanye comparison
 
Hebu tupunguze kazi, mkuu hivi wewe unaona no kitu gani Dodoma inaipiku Mwanza halafu uanze kuleta kimoja kimoja kikiwa na ushahidi wa picha au takwimu then ukimaliza na mwanza tulete hivyo vitu then tufanye comparison
We jamaa bwana,ni vitu vingi Sana.

1.Mpangilio wa Jiji.

2.Residential apartments

3.Idadi ya majengo ya ghorofa both tall na ordinary.

4.Vyuo na taasisi za elimu.

5.Urefu na ubora Wa barabara.

6.Mapato ya Jiji.

7.The list is endless.
 
Back
Top Bottom