Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapato ya Halmashauri,GDP nk..
Mtakula magorofa 😁😁.Mikdde safi sana.
Dom iko classic kama Abuja yaani 👇Mwanza streets ...katika maeneo mbalimbali ... huwezi pata maeneo kama haya dodoma
Mapato ya Halmashauri,GDP nk..
Go Dom go [emoji116]
sasa hivi Dom ni ya ngapi kwa GDP...?!Mapato ya Halmashauri,GDP nk..
Go Dom go [emoji116]
Iko Katika humo ila figures zinaongezeka kwa Kasi..
Maporior
More of Mapori from Dom 😜😜Mapori
Hii ni nn unaonyesha hapa? No paved roads,no street boundaries, no pedestrian walkways no street light ,this is a village[emoji16][emoji14][emoji14] ..dodoma .hapo kisasa within km 10 Toka mjini Kuna mapengo na vichaka vingi hvyo ..na hyo mitaa ya matajiri [emoji14][emoji14][emoji16] ..si bora mitaa ya milimani .ipuli mwanza ,,,[emoji116][emoji116]..nyumba quality na mlimani ....View attachment 2371832View attachment 2371833View attachment 2371834View attachment 2371835
Hapa hakuna k2 kabisa chenga tupuInatia SIMANZI sana.
Mbeya Jiji mchoko.
Mwanza ni Jiji la walalahoi hakuna tofauti na Mbeya..Hii ni nn unaonyesha hapa? No paved roads,no street boundaries, no pedestrian walkways no street light ,this is a village
Mkuu tuusan, hizo nyumba zipo milimani kumbuka hilo na ujenzi wa miliman si wa kitoto unazan kwenye mlima kutakuwa na lami kuwa fair, halafu hapo ni ipuli 35km kutoka cbd.Hii ni nn unaonyesha hapa? No paved roads,no street boundaries, no pedestrian walkways no street light ,this is a village
Punguza mihemko na chuki dhidi ya Mwanza.Mwanza ni Jiji la walalahoi hakuna tofauti na Mbeya..
Regionally Dar ,Arusha na Dom ndio wanatuwakilisha vizuri sana.
Lakini hayo maeneo pia kwenye barabara zake zote kuna lami, pia kuna taa za barabarani hapo kapiga kipnde, ata masaki nikipiga picha kuna sehemu hazitakuwa na hizo facilitiesHii ni nn unaonyesha hapa? No paved roads,no street boundaries, no pedestrian walkways no street light ,this is a village
😬😬 Hakuna cha mihemko Wala chuki,huu ni ukweli mchungu just swallow as it is.Punguza mihemko na chuki dhidi ya mwanza.
Leta picha za dodoma kila muda unateta majengo yanayojengwa kwenye mji wa mtumba hivi hapo hakuna project za watu binafsi, kila kitu hapo dodoma ni cha serikali, leta basi ata majumba au mahoteli au facilities zozote za watu binafsi ata taasisi.😬😬 Hakuna cha mihemko Wala chuki,huu ni ukweli mchungu just swallow as it is.
Jifunze kupost, hapo kuna uswazi gani unajua gharama za kujenga nyumba kwwnye mlima? Kiufupi wewe ni mpumbavu tu.😬😬 Hakuna cha mihemko Wala chuki,huu ni ukweli mchungu just swallow as it is.
Ona uswazi kwenye background ya hii picha hapa 👇
Mie sio hater wa Mwanza ila terminal ya Dodoma ni nzuri kuzidi hiiHaiwezi kuwa habari mbaya kuzidi hii.... Dodoma waliokuwa wanashika nafasi ya pili Kwa terminal nzuri ...sasa hvi wamepisha wenye nafasi zao..
Bado ya nyegezi [emoji95][emoji95][emoji95][emoji116][emoji116]this is devastating blow to Dodoma and other regions View attachment 2325718View attachment 2325719View attachment 2325720View attachment 2325721