Busan
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 644
- 736
Buswelu uswazi wanauskia tuDodoma itakufanya upate ugonjwa wa kuhara wewe kima wa uswazi wa buswelu.Ujenzi huu haupo kwenye sensa.
Video zinaongea👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buswelu uswazi wanauskia tuDodoma itakufanya upate ugonjwa wa kuhara wewe kima wa uswazi wa buswelu.Ujenzi huu haupo kwenye sensa.
Video zinaongea👇
Asaa apa cha ajabu nnDodoma tunayoisemea ni kama hii hapa,very classy👇
Niletee Video kama hii hapo Mwanza..Isamilo...[emoji91][emoji91][emoji95][emoji95][emoji95]
View attachment 2408530View attachment 2408531View attachment 2408532
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikuletea video,,,mb unazo bas ....nitakuletea link za kutosha .....Niletee Video kama hii hapo Mwanza..
Dodoma ni nyoko [emoji116]
Lazima useme hivyo Kwa sababu una wivu.😁😁.Asaa apa cha ajabu nn
Hii CBD hua nacheka tuNiletee Video kama hii hapo Mwanza..
Dodoma ni nyoko 👇
Subiria niwatifue na Dom kwanza..Nikikuletea video,,,mb unazo bas ....nitakuletea link za kutosha .....
Tuma picha za mitaa wa mgogo wa ludewa [emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kucheka,ukiona uswazi hapo kama huu hapa nitag 👇Hii CBD hua nacheka tu
GDP ya Simiyu inahudumiwa na wapi? 😆😆..BOT mwanza ....
Inahudumia GDP trillion 41 .
Mwanza 12 trillion
Shinyanga 8 trillion
Geita 7 trillion
Mara 5 trillion
Kagera 5 trillion
Kigoma 4 trillion View attachment 2408542
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakula wapi ...GDP ya simiyu Iko shinyanga ....unatakiwa uniulize wahy imewekwa shinyanga.sio kelele zingineGDP ya Simiyu inahudumiwa na wapi? [emoji38][emoji38]..
Najua hutojibu kwa vile unafahamu wapi itakula [emoji16][emoji16].
BoT Kigoma inaendelea na ujenzi itahudumia Kigoma,Tabora na Katavi.
Kwani ikijengwa itapunguza nini ...hizo trillion 4 au [emoji28]GDP ya Simiyu inahudumiwa na wapi? [emoji38][emoji38]..
Najua hutojibu kwa vile unafahamu wapi itakula [emoji16][emoji16].
BoT Kigoma inaendelea na ujenzi itahudumia Kigoma,Tabora na Katavi.
Nipe jibu Kwa nini imewekwa Shinyanga? Simiyu sio Mkoa unaojitegemea?Itakula wapi ...GDP ya simiyu Iko shinyanga ....unatakiwa uniulize wahy imewekwa shinyanga.sio kelele zingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa analeta vijumba vinavyopatikana Buhongwa na Bulale au Buguku huko.
Mwanza kuna nyumba nyingi za kienyeji hakuna v2 vya maana ,uanweza kuta izo nyumba laki 8 nusu ni za kienyejiMwanza inajitosheleza,Na watu wamwanza wanapenda kujenga dream house.Sio kujengewa vijumba kama quaters za magereza hakuna hata eneo la kuweka swiming pool.
Ukishaona Huna point ni afadhali utulie hapa mpumbavu ni weweww mpumbavu sana iwe twice wakat mkoa kila kukicha unakatwa walianza kuikata Geita baadae baadae nusu ya wilaya ya magu ikakatwa tangu lini Dodoma umekataa?
Na usiweze hauna akili ya kuishi UzunguniTena hiyo miji miwili ni michosho na hovyo kabisa, Moshi hakuna mji pale. Eti Arusha na Moshi ni far better kwa Mwanza ! Una akili kweli wewe au una akili za kuvutia mmea wa Arusha. Narudia tena siwezi kuishi mji wowote katika nchi hii kama hakuna bahari au ziwa.
Barabara ziko wapi?Bwiru.... ilemela..
Nishasema dodoma uniletee aerial view ya mitaa yenu .
Anzia nkuhungu, kisasa, uzunguni,area C,area D ,ilazo ,swasa ,medeli ...ukipata taswira na mandhari kama haya nitagg[emoji14][emoji12][emoji12]View attachment 2408494View attachment 2408495View attachment 2408496
Sent using Jamii Forums mobile app
Apa kidogo panaelewekaIsamilo...[emoji91][emoji91][emoji95][emoji95][emoji95]
View attachment 2408530View attachment 2408531View attachment 2408532
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar kuna ghorofa 32K Mwanza mnaghorofa 2.4K mnatia aibu sana aisee, sasa ghorofa moja tu pale kariakoo zinaishi familia hadi 20 nyie mnavibanda vibanda tu hamueleweki...Mbona husemi Da wenye 900k na pop yao ya 5M