Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Watu wanasema Dom kuna fursa, limejengwa soko la Ndugai liko tupu, stendi ya mabasi iko tipu, ile hoteli nayo hamna kitu.
Tuambiane hizo fursa hii nchi ni yetu sote.
FB_IMG_1665872093538.jpg
 
HIV kwanini watu wa dodoma na Arusha Huwa mnanuna sana mnapoona location na area nzuri za Bata na kufurahia weekend yako kama hizi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji91] kwani Kuna mtu aliwalizimishwa kuwa mbali na water bodies [emoji28]
16474a0a494e2bb340d178db778ecaec.jpg
39bc4bc607af5af18a4aa0c37d3a9798.jpg
49f8b75e41073b068e63f3db1a767f01.jpg
15de7d7828ae304a1078c54859ff6c21.jpg
c2f2bb54615941d6ae8e0b97f715e919.jpg
96dfc38fe4c4ac1371b47a3318dab064.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza is a city of happiness..watu wanaspend . Ni nadra kupata maeneo ya Bata dodoma ....
Bambalaga pko kilocal ,pest tana ishajifia ,mmebaki na royal village Nako kuko hovyo tu ......
b32184d095b172a3594af6f51fcf7c39.jpg
bb3f3ee387142ed409ded8792c5be068.jpg
cfa856cb71a117a1dbbc3f453c93f61e.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanasema Dom kuna fursa, limejengwa soko la Ndugai liko tupu, stendi ya mabasi iko tipu, ile hoteli nayo hamna kitu.
Tuambiane hizo fursa hii nchi ni yetu sote.
View attachment 2413615
Magufuli alijenga soko polini nje ya Mji ulitegemea Nini?

Kama Mwanza Kuna fursa mbona ile mall kule airport road iko tupu kwa sehemu kubwa na Ni Mjini?
 
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD

Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)

Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.

Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.

CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo, Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.

MADHAIFU:
I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"

II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.

III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.

IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)

V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.

But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.

TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Huu ndiyo uzalendo sasa, hata huringi mkuu, keep it up!
 

Attachments

  • 2590c49766d042a1b084c04b459b7ebc_10000000_149057067864981_5629208733555599994_n.mp4
    9.5 MB
  • 20221115_091847.jpg
    20221115_091847.jpg
    57.8 KB · Views: 14
  • 20221115_091850.jpg
    20221115_091850.jpg
    68.3 KB · Views: 10
  • 29617c54e5184f6ebabc639e9e551797_315349821_499342858892436_2146030399021831550_n.jpg
    29617c54e5184f6ebabc639e9e551797_315349821_499342858892436_2146030399021831550_n.jpg
    116 KB · Views: 11
  • 4aaaa0fa77c240ab81739b5c4f7bd502_315431226_164033366269034_97763265889000946_n.jpg
    4aaaa0fa77c240ab81739b5c4f7bd502_315431226_164033366269034_97763265889000946_n.jpg
    105.1 KB · Views: 11
  • e94c26a02cb448cabe72a58fdf05b7d9_315544073_197824125990493_6495020533953177652_n.jpg
    e94c26a02cb448cabe72a58fdf05b7d9_315544073_197824125990493_6495020533953177652_n.jpg
    125.2 KB · Views: 14
  • 23fc27aa25ff41a184d34981f55e4f83_315569280_409579174585963_4933976829282528421_n.jpg
    23fc27aa25ff41a184d34981f55e4f83_315569280_409579174585963_4933976829282528421_n.jpg
    93 KB · Views: 13
  • 06f08fdc1c07439ba8491cb5a56d0012_315356751_1113224176064165_3015885779868423291_n.jpg
    06f08fdc1c07439ba8491cb5a56d0012_315356751_1113224176064165_3015885779868423291_n.jpg
    125.7 KB · Views: 12
Shule za kisasa Kama hizi huko Mwanza mtakuwa mnaziona kwenye tv tuu hapa Dom 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221115-165201.png
    Screenshot_20221115-165201.png
    231 KB · Views: 16
  • Screenshot_20221115-165322.png
    Screenshot_20221115-165322.png
    216.2 KB · Views: 15
Nimeafatilia post zako nyingi ila inaonekana wewe jamaa ni mshamba sana na sijui unaishi mji gani, anyway sio tatizo lako labda elimu uliyo nayo inaweza kuwa ndiyo tatizo
Naishi Mbeya unatakaje mzee wa mapovu debe?

Ni hivi endelea kuugulia na mtaishia kuziona kwenye tv Dom tuu
 
Back
Top Bottom