Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ruti ilifia wapi mkuu?Dodoma inaanza kuonyesha misuli yake.
New Route Dodoma-Nairobi via Arusha [emoji116]View attachment 2436436
Unatia huruma Sana kwa kuokoteza tugorofa uchwara.Wakati dodoma mkisubiri miradi uchwara ya mji wa serikali.......
Huku GDP inazidi kupanda juu[emoji91][emoji91][emoji116][emoji116]
Ujenzi wa hospital ya kisasa
Na huduma za express boat View attachment 2450225View attachment 2450226
We endelea kuonesha ofisi za wizara wenzako wanakuwekea majenzi ya mahoteli makubwa na mahospital yanayojengwa na watu binafsi, ebu naww tuletee uwwkezaji wa watu binafsi huko IdodomyaUnatia huruma Sana kwa kuokoteza tugorofa uchwara.
Dodoma 👇View attachment 2450389View attachment 2450390
Akiweka nipo pale Nsalanga njooni mniuwe [emoji3][emoji3][emoji3]We endelea kuonesha ofisi za wizara wenzako wanakuwekea majenzi ya mahoteli makubwa na mahospital yanayojengwa na watu binafsi, ebu naww tuletee uwwkezaji wa watu binafsi huko Idodomya
Muda wote amekalia miradi ya serikali adi unashangaa huu mji wa dodoma haujengwi na watu binafsi, yaani kila anachotupia ni cha serikali.Akiweka nipo pale Nsalanga njooni mniuwe [emoji3][emoji3][emoji3]
Ila hapa ndio panafaaa au? 😂😂Dodoma hafai pamoja na kupendlewa na serikali
Toka umeenda Nsalaga kubeba viazi mviringo hatupumui humuAkiweka nipo pale Nsalanga njooni mniuwe [emoji3][emoji3][emoji3]
Basi Hutu tupicha tangu uokote google ,,,hatupumui...Ila hapa ndio panafaaa au? [emoji23][emoji23]View attachment 2450639View attachment 2450640View attachment 2450641View attachment 2450642View attachment 2450643View attachment 2450644View attachment 2450645
Leta picha za miradi ya dodoma nje ya nguvu ya serikali acha kutupia picha za mitaa ya igogo ya mwaka 1996.Toka umeenda Nsalaga kubeba viazi mviringo hatupumui humu
Huwa hana cha kupost zaid ya mitaa ya igogo, pia kati ya mitaa zaidi ya 200 anaona baya kwenye mtaa mmoja anakuja kujifariji.Basi Hutu tupicha tangu uokote google ,,,hatupumui...
Kama weww konk master tupia mtaa mkali hapo zizini ddoma .kuzidi huu[emoji116][emoji116]View attachment 2450662View attachment 2450663
Acha utoto,Kuna miradi chungu mzima nimepost humu jukwaani.Leta picha za miradi ya dodoma nje ya nguvu ya serikali acha kutupia picha za mitaa ya igogo ya mwaka 1996.
[emoji28][emoji28][emoji28]nakuona balozi wa infinity...wasipokupa tuzo Bora ya marketing kwenye kampuni lao .bas mbingu wataisikia tu ..Acha utoto,Kuna miradi chungu mzima nimepost humu jukwaani.
Haters watasema hapa sio Dodoma [emoji116]View attachment 2450674
Sawa naacha utoto na wewe uache uzee, kuna mradi gani uliopost zaidi ya viwanja vinavyouzwa, miradi ya nyumba ya serikali na ujenzi wa majengo ya serikali.Acha utoto,Kuna miradi chungu mzima nimepost humu jukwaani.
Haters watasema hapa sio Dodoma 👇View attachment 2450674
WaTz ni mbwa kabisa yaani hili nalo nilakujadi na kubishania wakati yapo mambo mengi ya kujadiliKwendraaaa huko kima wewe..
Dodoma City [emoji116]View attachment 2419459View attachment 2419460View attachment 2419461View attachment 2426834
Kumbe we sio mtzWaTz ni mbwa kabisa yaani hili nalo nilakujadi na kubishania wakati yapo mambo mengi ya kujadili
Choko wewe 🚮🚮WaTz ni mbwa kabisa yaani hili nalo nilakujadi na kubishania wakati yapo mambo mengi ya kujadili
Choko Hilo achana naloKumbe we sio mtz