Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Pride of mwanza [emoji116][emoji116]
20221205_165118.jpg
 
Wakati dodoma mkisubiri miradi uchwara ya mji wa serikali.......
Huku GDP inazidi kupanda juu[emoji91][emoji91][emoji116][emoji116]
Ujenzi wa hospital ya kisasa
Na huduma za express boat
IMG-20221217-WA0000.jpg
PSX_20221206_191755.jpg
 
Acha utoto,Kuna miradi chungu mzima nimepost humu jukwaani.

Haters watasema hapa sio Dodoma [emoji116]View attachment 2450674
[emoji28][emoji28][emoji28]nakuona balozi wa infinity...wasipokupa tuzo Bora ya marketing kwenye kampuni lao .bas mbingu wataisikia tu ..
By the way ,,usitulingishie maua sisi[emoji116]

Mitaaa smart ya BUGANDO..
.green setting kama hii huwezi ipata dodoma [emoji16][emoji116][emoji116]
JamiiForums1999046250.jpg
JamiiForums-153752848.jpg
JamiiForums-1730601108.jpg
JamiiForums-216112215.jpg
JamiiForums401870582.jpg
JamiiForums997881840.jpg
 
Back
Top Bottom