Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahiyo pop ya 700k ni 2669km² ko tukichukua hiyo 625 tunapata pop chini ya 200kWatu wa dodoma ,,,,,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].. population yenu ipo dispersed [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].......km 2000 zilibaki ni mapori na machakaView attachment 2599214
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa .. hapa Arusha bado ipo juuNahiyo pop ya 700k ni 2669km² ko tukichukua hiyo 625 tunapata pop chini ya 200k
Hizo nazo ni vyuo, fikiria kwanza kabla ya kupost, peleka ushamba wako kwa matonya wenziochuo cha serikali za mitaa (hombolo),chuo cha mipango ,st John na WW unaweza taja secondary zilizopo mwanza [emoji28][emoji2][emoji1787]
Acha kudandi mtumbwi wa vibwengo, dogo unaleta mambo ya kujifanya unajua baada ya kupewa hela ya vocha na shemeji ako, umeona umalizie bando lako humu.haya lete hata institute au collage za uko mwanza [emoji28][emoji3]
Ni mambo ya siasa tu kamanda wangu, japo serikali inatumia robo ya mapato yake kuifanya dodoma liwe jiji.dodoma sijui ilikuaje jiji pamoja na tanga dah
Ina maana mwanza kuna makazi classic kuliko hata Dar ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani vinyesi ndio vinasababisha kansa...leta estates za dom tulinganishe na mwanza, mtandao wa lami kwasasa bado subirini hiyo outer ring road ndio uje utambe, mna vyuo au mna chuo kimoja tu.cha udom, ukibisha weka list nami niweke list ya vyuo vikuu, makazi bora hakuna jiji lenye makazi classic hapa Tanzania kama Mwanza, bustani za kupumzikia mwanza ndio mahala pake, karibu fukwe zote zimejengwa na kusanifiwa vizuri kwa watu kupumzika.....
Kila nchi ina vigezo vyake vya kupromote mji kwenda hadhi nyingine ,we unadhani Dar wakati inapewa jiji ilikuaje ? hebu imaginedodoma sijui ilikuaje jiji pamoja na tanga dah
Hilo nalo linahitaji elimu ya chuo kikuu kuelewa, acheni kukaririshana mambo.Ina maana mwanza kuna makazi classic kuliko hata Dar ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dar wakati inapewa hadhi ya jiji ilikuwa kama namtumbo kwa kipindi hicho.Kila nchi ina vigezo vyake vya kupromote mji kwenda hadhi nyingine ,we unadhani Dar wakati inapewa jiji ilikuaje ? hebu imagine
ni lini tanga imeendelea, dodoma yenyewe shukuru maguKila nchi ina vigezo vyake vya kupromote mji kwenda hadhi nyingine ,we unadhani Dar wakati inapewa jiji ilikuaje ? hebu imagine
WW kachunge mang'ombe huna lakuniambia mshamba mmoja2Hizo nazo ni vyuo, fikiria kwanza kabla ya kupost, peleka ushamba wako kwa matonya wenzio
Unajitekenya post vya mwanzaHizo nazo ni vyuo, fikiria kwanza kabla ya kupost, peleka ushamba wako kwa matonya wenzio
Mimi ni fala lakini hustahili kushika hata kiatu cha mguu wangu.WW kachunge mang'ombe hula lakuniambia fala mmoja2
siwezi shka kiatu cha shoga mmMimi ni fala lakini hustahili kushika hata kiatu cha mguu wangu.
Asa huu uchafu nao wakutulingishia makao makuu ya nchi
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Asa huu uchafu nao wakutulingishia makao makuu ya nchi
Ziwa hata kagera lipo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2599801View attachment 2599802
Sent using Jamii Forums mobile app