ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Dodoma inaanza kupata wajukuu Sasa,Mwanza imetengwa 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shinyanga inaipumulia dodoma kwenye uwekezaji [emoji28][emoji28][emoji28]Dodoma inaanza kupata wajukuu Sasa,Mwanza imetengwa [emoji16][emoji16]
Usiishie kuleta namba leta na Value ya miradi husika.
Usiishie kuleta namba leta na Value ya miradi husika.
Kama hukujifunza fiscal year..Rudi darasani kwanza [emoji28][emoji28][emoji28]Usiishie kuleta namba leta na Value ya miradi husika.
Stuka tuko mwaka 2023 mnakojolewa na Dom huko [emoji16][emoji16]View attachment 2701705
Kapambane na shinyanga kwanza ndo uje huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usiishie kuleta namba leta na Value ya miradi husika.
Stuka tuko mwaka 2023 mnakojolewa na Dom huko [emoji16][emoji16]View attachment 2701705
Uwekezaji wa Dodoma ni majengo ya serikali hakuna viwanda 🤪🤪🤪🤪🤫Kama hukujifunza fiscal year..Rudi darasani kwanza [emoji28][emoji28][emoji28]
Miradi ya kilimo [emoji1787][emoji1787][emoji1787].. kwenye viwanda mmepigwa na kahama
😁😁😁🙄Kapambane na shinyanga kwanza ndo uje huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Viwanda 6 vya zabibu ..Uwekezaji wa Dodoma ni majengo ya serikali hakuna viwanda 🤪🤪🤪🤪🤫View attachment 2701718
Mwanza yaichapa dodoma mapato yatokanayo na maji ..hii Inamaanisha kuwa dodoma nyumba nyingi Zina umasikin hawana uwezo wa kulipia huduma za maji [emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16][emoji849]View attachment 2701720
Umeanza kutafutiza vitakwimu.vya kujifariji japo navyo vinakuaibishaMwanza yaichapa dodoma mapato yatokanayo na maji ..hii Inamaanisha kuwa dodoma nyumba nyingi Zina umasikin hawana uwezo wa kulipia huduma za maji [emoji116][emoji116]
Bilioni 25 against bilioni 16 [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2701726
Unajifariji 😆😆😆😆Viwanda 6 vya zabibu ..
Shinyanga viwanda 8
Mwanza viwanda 11 huoni aibu 🤣😅😅
Dom Mashujaa Ground
Kwani wapi Tanzania hii jawajengi? Harafu kila siku kurudia vipicha tumekuchoka.Kuna mafala yanadanganya kuwa dodoma itaipita mwanza.....kwamba mwanza imelala ,,,hizi ni project za kawaida tu za watu binafsi
Picha ya kwanza ni ujenzi wa jengo la ghorofa 12 ni commercial building
Jengo la pili ujenzi wa hospital kubwa nyegezi ghorofa 8
Ghorofa la tatu ni residential building
Floor 9 .......
Hapo bado Kuna site Mpya zaidi ya 10 hapo CBD na site zaidi ya 20 huko outskirts ...... dodoma nje ya MJI wa serikali hamna site Mpya za private investor View attachment 2702711View attachment 2702712View attachment 2702713
Dodoma ndo hawajengiKwani wapi Tanzania hii jawajengi? Harafu kila siku kurudia vipicha tumekuchoka.
Endelea kuumia,tuliwaambia Dodoma sio Canberra Bali ni kama Younde
Fire 🔥🔥🔥Dodoma ndo hawajengi
..kama wanajengewa ziko wapi za ofisi za wizara [emoji28][emoji28]