FUTURE PLAN
Senior Member
- Jun 11, 2023
- 186
- 212
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na hayo yote Mji bado unasuasua wewe kuuza kiwanja tu tena potential area mpaka waweke drone akati huku vinagombaniwaMkuu
Unalinganisha mji uliojengwa kwa mipango ya Serikali dhidi ya mji uliojipigania wenyewe kwa juhudi za wakulima, wavuvi na wafugaji?
Unalinganisha mji wenye mamlaka rasmi ya uendelezaji (CDA Dodoma), dhidi ya mji usiokuwa na mipango mahsusi wa maendeleo kitaifa, mji unaoota kama uyoga porini?
Huu ni uonevu usiopimika.
Exactly you nailed it...shida ya humu wanabishana kwa ushabiki badala ya "facts"Mkuu
Unalinganisha mji uliojengwa kwa mipango ya Serikali dhidi ya mji uliojipigania wenyewe kwa juhudi za wakulima, wavuvi na wafugaji?
Unalinganisha mji wenye mamlaka rasmi ya uendelezaji (CDA Dodoma), dhidi ya mji usiokuwa na mipango mahsusi wa maendeleo kitaifa, mji unaoota kama uyoga porini?
Huu ni uonevu usiopimika.
Umeona eeeh!Pamoja na hayo yote Mji bado unasuasua wewe kuuza kiwanja tu tena potential area mpaka waweke drone akati huku vinagombaniwa
Ya zamani sana hii picha, sema inawatosha.View attachment 2992348
Nikuongezee na hii
🔨🔨🔨🔨Ya zamani sana hii picha, sema inawatosha.
Uwe unasoma kabla ya kukurupuka 👇👇Hii hapa ni story. Tukianza kutuletea kama haya unabweka mara tender mara maneno. Wewe umetuletea Nini hiki
Uwe unasoma kabla ya kukurupuka 👇👇
View: https://twitter.com/mfa_tanzania/status/1791492004939022661?t=YUxohtaFuHlcAvzZtmCWAw&s=19
Tofauti kati ya Jiwe la msingi na render 😁😁
Wewe umeona na kusoma nini?Sasa hapo Kuna Nini?