Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwe Mwanza haitakuja kufikia hizi level 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C9p8IOptK8x/?igsh=OTk1bnNhb2pyZ2w5
Wapi ambako maji yapo Kila mahala na Kila nyumba? Taja vigezo vya msingiTuipe Dodoma 20years na serikali iwe na mkakati wa kweli kuigeuza Dodoma, pengine labda kwa mbaaali turudi kwenye andiko hili... Dodoma Bado sana.. hasa maji!! Mwaka Jana nilifika chuo kikuu nikafika mitaa ya utawala pale, nikaenda msalani kidogo pale kitivo Cha informatics, aisee vyoo vilikua vichafu sana... Maji hakuna mpka tiles zimegeuka kuwa nyekundu.. mikojo kwenye sink za chooni mpka wadudu wamezaliana...
Dodoma Bado Bado!! Tuache ushabiki tu
Mm niliwahi kusema kuwa Dodoma itakuwa second largest city muda si mrefu, watu wakanibishia humu. Huu uzi utafungwa baada ya miaka miwili zitakapotoka takwimu rasmi. Waache waendelee kukomaa na Mwanza yaoWapi ambako maji yapo Kila mahala na Kila nyumba? Taja vigezo vya msingi
Hadi Sasa ishakuwa ,Dodoma Ina Mapato mengi kushinda Mwanza si ya TRA Wala ya Jiji na HalmashauriMm niliwahi kusema kuwa Dodoma itakuwa second largest city muda si mrefu, watu wakanibishia humu. Huu uzi utafungwa baada ya miaka miwili zitakapotoka takwimu rasmi. Waache waendelee kukomaa na Mwanza yao
Hapana, Dodoma ukosefu wa maji ni mkubwa sana.... Hapaendani na jiji!Wapi ambako maji yapo Kila mahala na Kila nyumba? Taja vigezo vya msingi
Naomba tutajie mkoa wowote Tanzania ambao maji yanatoka sehemuzote 24/7 mwaka mzima tumalize ubishi😆😆Hapana, Dodoma ukosefu wa maji ni mkubwa sana.... Hapaendani na jiji!
Ndio inaondoa hadhi ya Jiji?Hapana, Dodoma ukosefu wa maji ni mkubwa sana.... Hapaendani na jiji!
Bado Kwa Dar ila sio Kwa hivyo Vijiji vyenu.Tuipe Dodoma 20years na serikali iwe na mkakati wa kweli kuigeuza Dodoma, pengine labda kwa mbaaali turudi kwenye andiko hili... Dodoma Bado sana.. hasa maji!! Mwaka Jana nilifika chuo kikuu nikafika mitaa ya utawala pale, nikaenda msalani kidogo pale kitivo Cha informatics, aisee vyoo vilikua vichafu sana... Maji hakuna mpka tiles zimegeuka kuwa nyekundu.. mikojo kwenye sink za chooni mpka wadudu wamezaliana...
Dodoma Bado Bado!! Tuache ushabiki tu
Mwanza ina hotel mbili za five star, na hiyo ya nssf ndio imefunika zote hapa Tanzania kwa uzuri ukibisha utakuwa unajipu kwenye matako.Kitombile laizerg Hatimaye maskini ameokota dodo.
Hotel ya kwanza ya 5 Star ndani ya Mwanza 👇👇View attachment 3065329View attachment 3065330