Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hata Rufiji streat mwanza inapakarishaWagogo bado kapuka bora hata Mbeya yako juhudi za watu binafsi zinaonekana high raising za Raia zinaoneka ila kwa hapa ni Deadly, Bila mbereko ya serikali ilikua haina tofauti na MADABA View attachment 3128267
Safari ndefu ipi na ya kwenda wapi? Imeumbua kipi?Hii video imewaumbua sana, Down town yenu bado mna safari ndefu, sehemu nzuri inayovutia ni medeli na Mtumba angalau
Pana shida gani hapo? Au unadhani Dom imejikusanya sehemu Moja kama Vimiji vyenu uchwara? Na hapa umepaona kwenye video? 👇👇Wagogo bado kapuka bora hata Mbeya yako juhudi za watu binafsi zinaonekana high raising za Raia zinaoneka ila kwa hapa ni Deadly, Bila mbereko ya serikali ilikua haina tofauti na MADABA View attachment 3128267
Down town hii bado ina safari ndefu View attachment 3128263
Mwanza na tumiji uchwara twingine ndio tunategemei hiyo kitu unaita down town ila Dom has many other developed places apart from the so called CBD kitu ambacho Mwanza hakuna.View attachment 3128252CBD bado inatia huruma hii
Soma taratibu usije pata heart attack kisa maendeleo ya Dom.
Wamesema Barabara inapanuliwa kuwa njia ngapi? 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DBO_vBROuAN/?igsh=MWZ1bG9lcG1hb3p0aA==
Kabla ya ground ni maandiko ya pesa,pesa ndio hizo hapo.T
Unataka vitu kwenye ground hayo maandiko kila mkoa yapo.
The sunk cost fallacy a.k.a choice variable. Huyu anauwezo wa kuanzishwa thread kwa jina la ChoiceVariable na akakomenti kwa jina la The Sunk Cost Fallacy 2 na akawa ameridhika kabisa🤣🤣🤣Unatapatapa sana Mzee baba.
Anaemnanga ni nani?
Kwani kabla ya Magu Dom haikuwa HQ? Ujenzi na upangaji ulishaanza kitambo ndio maana kulikuwa Kuna Bunge,UDOM,Chimwaga Complex,Chamwino Ikulu ,Barabara zote kuu za kuingia na kutoka Dom kuwekwa lami nk
Magu alitoa msukumo mkubwa ila hata asingekuwa yeye Bado Mji Mkuu ungejengwa hata iwe 2050
Jadili hoja achana na ID za watuThe sunk cost fallacy a.k.a choice variable. Huyu anauwezo wa kuanzishwa thread kwa jina la ChoiceVariable na akakomenti kwa jina la The Sunk Cost Fallacy 2 na akawa ameridhika kabisa🤣🤣🤣
Sasa asidharaulike kandunje wa ugogoni, mfupi na amedumaa uje umdharau giant wa kisukuma si utakuwa ulimbukeni wako. Yaani Mimi nidharaulike mbele yako si ufala huo dogo.Hawa jamaa wasukuma ndiomana wanadharauliwa sana huku mjini kwa ushamba....yaani "madini na facts" zote tunazowapa badala ya kushukuru tunawasaidia kuongeza maarifa wao ndio kwanza wanaleta ushabiki maandazi😂😂.
Yaani mtu ameenda shule alafu anashindwa hata kugoogle tu neno "Mkapa House Dodoma" akapata maarifa😂😂😂
Mwanza City 😁😁😁👇👇Sasa asidharaulike kandunje wa kigogo
Nilikuwa namjibu shost yako masareJadili hoja achana na ID za watu
🤣🤣Mwanza mitaa yao karibia yote ipo hovyohovyo haina mpangilio kamavile vijumba vya Igogo 🤣🤣 alafu eti wanataka kujilinganisha na Dom Jiji lililoanza kupangiliwa from scratch tangu enzi za Nyerere.Mwanza na tumiji uchwara twingine ndio tunategemei hiyo kitu unaita down town ila Dom has many other developed places apart from the so called CBD kitu ambacho Mwanza hakuna.
Ukiwaambia walete picha zinazoonesha mtaa mzima kama hizi hawawezi wanaokoteza picha ya nyumba nzuri mojamoja zilizotumwa kwenye thread yao ile nyingine waliyojianzishia alafu wanakuja kupost humu😂😂.Mwanza City 😁😁😁👇👇View attachment 3128358View attachment 3128359View attachment 3128360View attachment 3128361
Nje ya CBD hapo 🤪🤪
Mtaa mzima kwetu hauenei kwenye picha Moja kulingana na jiografia. Ukiona mtaa mzima unaenea kwenye picha Moja ujue hamna kitu hapoUkiwaambia walete picha zinazoonesha mtaa mzima kama hizi hawawezi wanaokoteza picha ya nyumba nzuri mojamoja zilizotumwa kwenye thread yao ile nyingine waliyojianzishia alafu wanakuja kupost humu😂😂.
Hivi Dom wakipost picha za nyumba/makazi ya Spika au ya Naibu Waziri Mkuu si mtakimbia humu😂😂.
Dom wamewazidi mbali sana Mwanza mitaa yao yote ina "lay out" nzuri, viwanja na nyumba vimepangiliwa,kila nyumba ina hati,barabara zinafika kote,mapaa ya nyumba yamejengwa kwa mfanano wa rangi,mifumo ya majisafi na majitaka ipo "intact" ,usalama na tahadhari ya majanga ya asili imepewa kipaumbele sasa Mwanza inayojifariji kujilinganisha na Dom ikotokea kwamfano janga la moto mitaa kama Igogo vile vijumba vyote mlimani kwisha habari yake😂😂 manake gari la zimamoto haliwezi kufika kule.View attachment 3128376
Modern and iconic City 👇👇Duuuh ushamba ni mzigo kweli Nini hiki
Mnakusanya vipicha vya Igogo mwanza ni jiji aisee Dodoma tupa kuleMwanza City 😁😁😁👇👇View attachment 3128358View attachment 3128359View attachment 3128360View attachment 3128361
Nje ya CBD hapo 🤪🤪