Je ni kweli kuwa kuna askari wa Tanzania wanaosaidia serikali habithi ya William Ruto kuwateka wakenya kama walivyozoea kufanya Tanzania?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kuna habari kuwa Gen Z wa Kenya wana mpango wa kukinukisha tena. Katika kusikiliza habari baada ya kutekwa kwa mchoraji vibonzo vinavyompinga Ruto aitwaye Kibet Bull, wamesema kuna watekaji toka nchi jirani. Kumbuka. Wakati wa maandamano ya Gen Z kulizuka shutuma kuwa askari polisi wa Tanzania walikuwa Kenya kuteka wakenya na serikali yetu haikukanusha tena kwa ukali kiasi cha kufanya iwepo imani kuwa kuna namna inashiriki hasa ikizingatiwa kuwa utekaji nchini Tanzania ni jambo la kawaida hasa baada ya rais kusema hivyo.
 
Wakenya nao ni vimeo tu, huwa hawaoni jema lolote hapa kwetu.

Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Yeyooomiiii kama Kuna ukweli jaman waonywe maana wakenya wakikinukisha sisi tuopo hapa holili watatutafuna wabichi,huenda Kuna wakora TU was enzi zile wamejipatia ajira huko ila so watu WA Mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…