Je, ni kweli kuwa Morocco ni Waarabu na si Waafrika?

Je, ni kweli kuwa Morocco ni Waarabu na si Waafrika?

Watajijua wenyew,ninachojua kombe hawabebi
wkatae uafrika wakubali sisi tunachojua mpaka kucheza world cup wametokea kwenye mashindano yaliyoandaliwa na CAF na wamecheza na ku qualify kupitia timu za Africa na kuwakilisha Africa wakiwa pamoja na Cameroun, Senegal, Ghana naTunisia. Na mpaka nafasi waliyofikisha tunaofaidika ni Africa na siyo Uarabuni kwa kuongezewa nafasi ya timu zinazoshiriki
 
safari yao inaishia nusu fainali, hawaendi kokote
 
  • Kama Morocco ni Arabs- basi Jamaica ni African na sio American
  • Pia Turky ni Arabs not European
  • Pia Hispania ni Arabs not European. Watabaki kuwa Africans dumu daima
 
Ila kwa mambo yetu sisi weusi siku hizi sishangai watu kutukataa
 
Morocco wamequalify kwa ajili ya SEMI-FINAL za world cup good news to Africa japo kuna rumours kuwa wao ni Arabs na so Africa na haya maneno yametoka kwao.

Well sisi sio kwamba tunawahitaji sana morocco lakini MOROCCO si Waarabu

1. Culture -utamaduni wa waarabu esp kwenye mavazi wanatofautiana sana na morocco. Asili ya mavazi ya morocco ni Africa na sio Arab, Chakula Waarabu ni RICE based food na Morrocco ni BREAD based food (mikate ya yesu)[emoji1], Linguistic wamorroco asili ya lugha yao si Kiarabu.

2. Geography -Nchi ya Morocco inapatikana Africa ya magharibi na sio Asia au bara lenye Arabs nafikiri kuwa karibu na Mecca imeeafanya kuzoea zaidi uarabu kuliko Africa.

3. Historically - watu wa kwanza kuitawala Morocco ni ROMANS in 2nd Century AD so hakuna trace zozote zinazoonyesha chimbuko la waarabu Morocco

BTW kama morocco hawapendi kuitwa Africans hilo sio tatizo ila wakumbuke WORLD CUP does not tell who is a real african and who is not.

Na sisi pia jamani tujitahidi kupambana tungekuwa na TIMU hata moja kutoka East Africa iliyofika hata 16 bora tusingekuwa watoto wa kufikia wa Morocco.

Lets find the way out

View attachment 2443361
mwafrika ngozi njeusi hao huwaoni hata rang?
 
Washenzi Ndio maana wamesha fyekilia mbali walahi
Mabwege kweli walahi [emoji2959]
 
Morocco wamequalify kwa ajili ya SEMI-FINAL za world cup good news to Africa japo kuna rumours kuwa wao ni Arabs na so Africa na haya maneno yametoka kwao.

Well sisi sio kwamba tunawahitaji sana morocco lakini MOROCCO si Waarabu

1. Culture -utamaduni wa waarabu esp kwenye mavazi wanatofautiana sana na morocco. Asili ya mavazi ya morocco ni Africa na sio Arab, Chakula Waarabu ni RICE based food na Morrocco ni BREAD based food (mikate ya yesu)[emoji1], Linguistic wamorroco asili ya lugha yao si Kiarabu.

2. Geography -Nchi ya Morocco inapatikana Africa ya magharibi na sio Asia au bara lenye Arabs nafikiri kuwa karibu na Mecca imeeafanya kuzoea zaidi uarabu kuliko Africa.

3. Historically - watu wa kwanza kuitawala Morocco ni ROMANS in 2nd Century AD so hakuna trace zozote zinazoonyesha chimbuko la waarabu Morocco

BTW kama morocco hawapendi kuitwa Africans hilo sio tatizo ila wakumbuke WORLD CUP does not tell who is a real african and who is not.

Na sisi pia jamani tujitahidi kupambana tungekuwa na TIMU hata moja kutoka East Africa iliyofika hata 16 bora tusingekuwa watoto wa kufikia wa Morocco.

Lets find the way out

View attachment 2443361
Swal la ajabu uarabu Ni asili ya watu kutoka taifa la huko uarabuni Africa Ni bara na sio taifa
 
Morocco wamequalify kwa ajili ya SEMI-FINAL za world cup good news to Africa japo kuna rumours kuwa wao ni Arabs na so Africa na haya maneno yametoka kwao.

Well sisi sio kwamba tunawahitaji sana morocco lakini MOROCCO si Waarabu

1. Culture -utamaduni wa waarabu esp kwenye mavazi wanatofautiana sana na morocco. Asili ya mavazi ya morocco ni Africa na sio Arab, Chakula Waarabu ni RICE based food na Morrocco ni BREAD based food (mikate ya yesu)[emoji1], Linguistic wamorroco asili ya lugha yao si Kiarabu.

2. Geography
-Nchi ya Morocco inapatikana Africa ya magharibi na sio Asia au bara lenye Arabs nafikiri kuwa karibu na Mecca imeeafanya kuzoea zaidi uarabu kuliko Africa.

3. Historically - watu wa kwanza kuitawala Morocco ni ROMANS in 2nd Century AD so hakuna trace zozote zinazoonyesha chimbuko la waarabu Morocco

BTW kama morocco hawapendi kuitwa Africans hilo sio tatizo ila wakumbuke WORLD CUP does not tell who is a real african and who is not.

Na sisi pia jamani tujitahidi kupambana tungekuwa na TIMU hata moja kutoka East Africa iliyofika hata 16 bora tusingekuwa watoto wa kufikia wa Morocco.

Lets find the way out

View attachment 2443361

Achana na makoikoi hayo, waarabu hawawataki na wazungu hawawataki
Kaaazi kweli kweli walahi [emoji13]
 
Kwa damu ni waarabu. Ila wako bara la Africa.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Africa ina madaraja mawili:-
(1)Africa kusini ya jangwa
la Sahara (weusi)
(2)Africa ya kaskazini (waarabu)
Kusini ya jangwa la Sahara kasoro South Africa ni balaaa! Huku ndo kina kila shida (umaskini,magonjwa,ujinga n.k) Sio rahisi waseme wao ni Waafrica
Ethiopia wenyewe ukienda kule Wahabesh wanakuuliza "Are you from Africa?" Yaani Sub Saharan Continent ni wa kubaguliwa na kila race!!!
 
Mkuu Morocco ipo kaskazini mwa bara la Africa na si magharibi.

Na kuhusu kukataa kuwa sio nchi ya Africa na maoni yao, jeografia inaonyesha na wote duniani wanatambua kuwa ni nchi ya Africa.

Nafikiri umasikini, njaa, ujinga, siasa mbovu na upuuz mwngine wa nchi nying za Africa ndio sababu kuu ya wao kuukataa Uafrica. Na ukitazana wengi wana asili ya Kiarabu.

Note: Hakuna anaependa kuwa na ndugu mwenye sifa tajwa hapo juu.
Nipe tano mkuu! Tabia za viongozi wa Africa kusini ya jangwa la Sahara hazifai kuigwa!
 
Back
Top Bottom