Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

ww hujui nachoongelea ni nini kuingia gizani namahanisha ni kutenda dhambi ndio maana tunakufa kama upo kwenye mwanga ww utakuwa haufi na ni mkamilifu 100% na haukosei chochote kwa ufupi umekamilika kila kitu!!
je ni kweli ww ni mkamilifu, haufi, haukwazi mtu yeyote, hisia zako vp!!!
Dini nyingi zinafundisha uongo eti kwamba kumbukumbu hubaki mtu anapokufa ha uendelea kuhisi, kupenda na kuchukia je ni kweli Biblia inasema ivyo ukisoma

Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+ 6 Pia, upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari zimepotea, 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote, kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi wala hekima katika Kaburi, mahali unapokwenda.” *Mhubiri 9:5, 6 10.

Pia, upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari zimepotea


zaburi 146:4
Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+
Siku hiyo mawazo yake hupotea.+

hiyo ni baadhi ya mistari michache tu

PAKUA KITABU HIKI UTAELEWA KUSUDI HASA LA MUNGU NA UTAMPENDA ZAIDI HAUTAMWONA MKATILI KAMA DINI ZA UWONGO ZINAVYOFUNDISHA
PAKUA HAPA
Dini za uongo ni zipi taja tatu
 
Hawezi kulijibu kwasababu hakuna uongo mahala popote katika hilo bandiko
Mmeusoma uzi wako na nmeuelewa vizuri kabisa.

Swali kwako Jimena:

Hivi unaamini uwepo wa Mungu?
Je unaamini uwepo wa uchawi

Japo swali linaweza kuonekana liko nje ya mada lakin naomba unijibu.
 
Yep, wewe pia umeshaamka, hongera, tuendelee kueneza taarifa hizi ili tuzidi kuamsha ndugu zetu....
 
Kwahiyo kwa kutojua uhai ulianzaje ndio mkaamua kumuumba mungu sio?
acha ubishi kijana ww ni kiumbe wa Mungu na bado Mungu anakupenda licha ya kiburi chako cha uzima ulicho nacho.Humjui muumba mwenye enzi kuu ungemjua muumba mwenye enzi kuu ungeheshimu neno lake
 
Hapana
Hapana
Ukiuliza maswali yanayomuhusu Mungu wanasema eti unakufuru.
Wakati unauliz ili upate kumfahamu na kumwabudu ktk roho na kwel.
Anyway ngoja nirudi zangu Kf wasije kusema akufuru bure
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom