ww hujui nachoongelea ni nini kuingia gizani namahanisha ni kutenda dhambi ndio maana tunakufa kama upo kwenye mwanga ww utakuwa haufi na ni mkamilifu 100% na haukosei chochote kwa ufupi umekamilika kila kitu!!
je ni kweli ww ni mkamilifu, haufi, haukwazi mtu yeyote, hisia zako vp!!!
Dini nyingi zinafundisha uongo eti kwamba kumbukumbu hubaki mtu anapokufa ha uendelea kuhisi, kupenda na kuchukia je ni kweli Biblia inasema ivyo ukisoma
Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+ 6 Pia, upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari zimepotea, 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote, kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi wala hekima katika Kaburi, mahali unapokwenda.” *—
Mhubiri 9:5, 6 10.
Pia, upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari zimepotea
zaburi 146:4
Roho yake hutoka,
+ naye hurudi kwenye udongo wake;
+
Siku hiyo mawazo yake hupotea.
+
hiyo ni baadhi ya mistari michache tu
PAKUA KITABU HIKI UTAELEWA KUSUDI HASA LA MUNGU NA UTAMPENDA ZAIDI HAUTAMWONA MKATILI KAMA DINI ZA UWONGO ZINAVYOFUNDISHA
PAKUA HAPA