Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
Hayo mambo mengine watayatizama vipi? Angalau kungekuwa na interviews.Si lazima. GPA ni mojawapo tu ya vipimo vingi vinavyoweza kuonyesha ufanisi na mafanikio ya mwanafunzi. Mwalimu mwenye GPA kubwa anaweza kuwa na maarifa mazuri na ujuzi mkubwa, lakini sio lazima awe bora kuliko mwalimu mwenye GPA ndogo. Mambo mengine kama vile uzoefu wa kufundisha, uwezo wa kuwasiliana vizuri na wanafunzi, na jitihada zinazoonyeshwa pia ni muhimu katika kufanya mwalimu kuwa bora. Hivyo, ni muhimu kutazama mambo mengi zaidi ya GPA pekee wakati wa kuchagua mwalimu bora.
Hayo mambo mengine watayatizama vipi? Angalau kungekuwa na interviews.
Hoja yangu ipo kwenye G.P.A, ukisema bora interview je ni lini wameajiriwa kwa interview na je, walimu walio ajiriwa miaka yote sio bora?Hayo mambo mengine watayatizama vipi? Angalau kungekuwa na interviews.
Kweli kabisa…
Watupangie kwa GPA, kuna watu walikuwa wanazurura tu koridoni badala ya kusoma 😂😂😂😂
Ila hata vyuomi Ili uwe Tutorial lecturer lazima uwe na GPA ya 3.8+Iko hivi GPA haiokotwi ni inatafutwa kwa jitihada kubwa, kwa maono ya nje na ya kawaida maamuzi ya waajiri yanaweza kuwa mazuri, lakini critically hatuwezi kuamini kuwa GPA inabeba uhalisia wa utendaji kazi wa asilimia zote za muajiriwa, ila wakipata wamepata kwa sababu no good comes easier!!!
Endelea kuotaHapana usaili utafanyika mwakani jiandae vizuri
😁😁😁😁😁😁😁Kweli kabisa…
Watupangie kwa GPA, kuna watu wakikuwa wanazurura tu koridoni badala ya kusoma 😂😂😂😂
Kila jambo lina mwanzo, ndio waanze sasa na GPA ikiwemo.Hoja yangu ipo kwenye G.P.A, ukisema bora interview je ni lini wameajiriwa kwa interview na je, walimu walio ajiriwa miaka yote sio bora?
Vigezo walivyotumia miaka yote kuajiri watumishi wa kada ya elimu waendelee navyo kama wameamua kutoitisha interviews.
Anza kuaga wana mtaaniii,,, jiandae na kaziiii,,,maana wewe ulikuwa unasoma,,,🫡Kwa hiyo sisi wenye GPA 4.5 tuanze kufua nguo
Kati yangu Mimi nawewe Nani anaota kijanaEndelea kuota
Mbna unalalamika sana bwasheikh vipi upo kwenye ×<3.0 nini?Hayo mambo mengine watayatizama vipi? Angalau kungekuwa na interviews.